Skip to main content

Miji sita tishio kwa watoto wa mitaani yatajwa

 Wizara hiyo ya Afya Maendeleao ya Jamii
Jinsia Wazee na watoto Sihaba Nkinga katika uzinduzi wa ripoti ya
Taifa ya watoto.
WIZARA ya Afya Maendeleao ya Jamii Jinsia Wazee na watoto imesema watoto
wanaoishi na kufanya kazi za mitaani nchini ni 6,393 ambapo Idadi ya
wavulana ni asilimia 76 na wasichana ni asilimia 24 .


  Hayo yamesemwa na Katibu wa Wizara hiyo ya Afya Maendeleao ya Jamii
Jinsia Wazee na watoto Sihaba Nkinga katika uzinduzi wa ripoti ya Railway
Children  ambapo alisema kuwa ripoti hiyo nitafiti iliyofanywa kwa mikoa
sita ambayo ni Dar es Salaam ,Mwanza ,Mbeya ,Dodoma pamoja na mikoa mingine
ya Aarusha na Iringa.


  Alisema ripoti hiyo pia inatoa utafiti wa watoto wenye umri  kati ya
miaka 0-18 ambao wanaishi na kufanya kazi mitaani katika miji hiyo sita
nchini hapa.
 

  "Sababu ya kwanza inayosababisha ongezeko la kuwepo wa toto wa mtaani
ni umaskini,ukatili huku ikichangiwa na sababu nyingine ya kuwepo kwa
migogoro ya kifamilia,"alisema Inkinga .

  Inkinga alisema kuwa anatao wito kwa serikali pamoja na wadau wengine kuingia
mitaani kuhakikisha kwamba watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani wanaunganishwa
katika mifumo ya ulinzi wa watoto katika ngazi zote za kitaifa naza Wilaya.


  Aidha kwa upande wa Mkurugenzi wa Railway Children Africa Peter Kent alisema
katika mikoa yote sita walioyo ifanyia tafiti na kubaini kuapa ripoti,
walibaini kuwa sababu ya watoto wengi walio hojiwa kwa nini wanaishi
mitaani walibaini kuwa kuwa chanzi ni umaskini na ukatili na migogo
ya kifamilia.

  WIZARA ya Afya Maendeleao ya Jamii Jinsia Wazee na watoto pamoja
na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, kwa msaada wa
kiufundi  kutoka Shirika la Railway Children Africa,ilifanya shughuli za
kuhesabu watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani kwa muda mfupi katika
miji hiyo sita.

  Katibu huyo aliongeza kuwa ripoti hiyo ni matokeo ya utaratibu  maalum wa
kupata idadi rasmi ya watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani,
ambapo ilibainika kuwa watoto wenye umri mkubwa walikuwa hawajihusishi
na shughuli ya kuomba omba,bali walikuwa wakifanya shughuli fulani
kama vile biashara zinazohamishika .

  Utafiti pia uliweza kugundua kwamba zaidi ya asilimia 50 ya watoto wanaoishi
na kufanya kazi mitaani ni wenye umri wa miaka zaidi ya miaka 15,zaidi yao
zoezi hilo lilibaini vijana 4,202 wenye umri wa miaka 19 hadi 25 wao wanaishi na
kufanya kazi mitaani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.