Skip to main content

SERIKALI imeiweka benki ya kibishara ya Twiga Bancop chini ya uangalizi wa benki ya Posta

SERIKALI imeiweka benki ya kibishara ya Twiga Bancop chini
 ya uangalizi wa benki ya posta ambayo inamilikiwa na benki 
kuu nakutaka benki hiyo kuungana 
na benki ya posta nakuwa benki moja  .

Hatua ya serikali kuweka benki ya Twiga Bancop chini yauangalizi 
wa benki kuu imetokana na benki hiyo kuwa na upungufu mkubwa wa
 mtaji kinyume ya matakwa ya sheria ya mabenki na taasisi za fedha 
ya mwaka2006  hali iliyotokana na benki hiyo kuwa usalama mdogo wa 
sekta ya kifedha katika benki hiyo .

Akizungumza  na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Naibu Gavana 
wa benki kuu Benard Gese amesema kuwa katika kuhakikisha sekta yakibenki 
inaimarika serikali imeamua kuimarisha usimamizi wake dhidi ya benki hiyo
 kwa kuunganisha na benki yaposta ambayo pia inamilikiwa na serikali .

''Kwamujibu wakifungu cha 30 (1)a cha sheria yamabenki na taAsisi 
zake ya mwaka2006 benki kuu ya tanzania imeidhinisha benki yatwiga na tpb 
kuwa benkimoja kuanzia leo ''Alisema Naibu Gavana Gese .

Imeelezwa kuwa BOT ilichukua usimamizi wa benki ya Twiga baada ya kubaini 
upungufu mkubwa wa mtaji kinyume na matak wa ya sheria ya mabenki,
Shughuli zote za kibenki za banki hiyo zilisimamiwa na msimamizi 
kutoka Benki Kuu ya Tanzania.


kwa upande wake Rosemary Mtenga ambaye ni meneja uendeshaji Bodi
ya Bima alisema kwa sasa wapo katika mchakato wa kufanya ukaguzi
wa madeni ili kuhakikisha wadaiwakiwemo wanahisa za makampuni.

Alisema zoezi hilo la kufanya ukaguzi wa madeni na kuwalipa 
wadai linaendana na kuwalipa bima.

"Zoezi hili limefanikiwa kwa asilimia 60 ambapo shilingi milioni 1.5 
wataziweka katika ofisi za matawi yao ya benki ili waeweze kulipwa
mwisho wa mwezi huu,"alisema Mtenga.

Alisema vizuri benk kuungana ili kuhakikisha riba zinapungua
benk kama CRDB tayarizimeanza kufuata mwelekeo huo ambapo benki
kuu inahakikisha mazingira ya ushindani wa kibiashara yanakuwa
wezeshi kwa kila benk zakibiashara ili kudhibiti ongezeko
la riba kwenye mabenki.

"Katika kipindi cha mwezi Januari mwaka huu benki kuu ili zifuta
leseni za benki tatu taratibu zinaendelea kwa mfirisi na hadi kufikia
 Juni 30 mwaka jana benki tano ziliweza kufutiwa leseni ," alisema Mtenga.

Comments