Skip to main content

SERIKALI imeiweka benki ya kibishara ya Twiga Bancop chini ya uangalizi wa benki ya Posta

SERIKALI imeiweka benki ya kibishara ya Twiga Bancop chini
 ya uangalizi wa benki ya posta ambayo inamilikiwa na benki 
kuu nakutaka benki hiyo kuungana 
na benki ya posta nakuwa benki moja  .

Hatua ya serikali kuweka benki ya Twiga Bancop chini yauangalizi 
wa benki kuu imetokana na benki hiyo kuwa na upungufu mkubwa wa
 mtaji kinyume ya matakwa ya sheria ya mabenki na taasisi za fedha 
ya mwaka2006  hali iliyotokana na benki hiyo kuwa usalama mdogo wa 
sekta ya kifedha katika benki hiyo .

Akizungumza  na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Naibu Gavana 
wa benki kuu Benard Gese amesema kuwa katika kuhakikisha sekta yakibenki 
inaimarika serikali imeamua kuimarisha usimamizi wake dhidi ya benki hiyo
 kwa kuunganisha na benki yaposta ambayo pia inamilikiwa na serikali .

''Kwamujibu wakifungu cha 30 (1)a cha sheria yamabenki na taAsisi 
zake ya mwaka2006 benki kuu ya tanzania imeidhinisha benki yatwiga na tpb 
kuwa benkimoja kuanzia leo ''Alisema Naibu Gavana Gese .

Imeelezwa kuwa BOT ilichukua usimamizi wa benki ya Twiga baada ya kubaini 
upungufu mkubwa wa mtaji kinyume na matak wa ya sheria ya mabenki,
Shughuli zote za kibenki za banki hiyo zilisimamiwa na msimamizi 
kutoka Benki Kuu ya Tanzania.


kwa upande wake Rosemary Mtenga ambaye ni meneja uendeshaji Bodi
ya Bima alisema kwa sasa wapo katika mchakato wa kufanya ukaguzi
wa madeni ili kuhakikisha wadaiwakiwemo wanahisa za makampuni.

Alisema zoezi hilo la kufanya ukaguzi wa madeni na kuwalipa 
wadai linaendana na kuwalipa bima.

"Zoezi hili limefanikiwa kwa asilimia 60 ambapo shilingi milioni 1.5 
wataziweka katika ofisi za matawi yao ya benki ili waeweze kulipwa
mwisho wa mwezi huu,"alisema Mtenga.

Alisema vizuri benk kuungana ili kuhakikisha riba zinapungua
benk kama CRDB tayarizimeanza kufuata mwelekeo huo ambapo benki
kuu inahakikisha mazingira ya ushindani wa kibiashara yanakuwa
wezeshi kwa kila benk zakibiashara ili kudhibiti ongezeko
la riba kwenye mabenki.

"Katika kipindi cha mwezi Januari mwaka huu benki kuu ili zifuta
leseni za benki tatu taratibu zinaendelea kwa mfirisi na hadi kufikia
 Juni 30 mwaka jana benki tano ziliweza kufutiwa leseni ," alisema Mtenga.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.