Skip to main content

Piatia hapa kilicho semwa na Simba Alhamisi

IMBA awamu hii haitaki masikhara kabisa. Unaambiwa  Alhamisi mashindano ya Kombe la SportPesa yalizinduliwa rasmi ambapo bingwa wake atatua jijini Liverpool kukipiga na Everton ya Theo Walcott.
Sasa mabosi wa Simba fasta tu wakachukua simu na kuwaambia nyota wao kuwa kuna fedha ndefu zinawahusu endapo watakamilisha kazi hiyo.

Mbali ya kwenda kucheza Everton ambayo staa wa zamani wa Arsenal, Walcott na nahodha wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney wanaichezea, bingwa wa michuano hiyo atazawadiwa Dola 30,000 (Sh 68 milioni).

Mabosi wa Simba ambao wametumia zaidi ya Sh3 bilioni msimu huu, wamewaambia nyota wao wakiwamo Emmanuel Okwi na John Bocco waliofunga mabao 34 Ligi Kuu Bara, kuwa wakitwaa taji hilo watagawana zawadi hiyo kwani wao wanataka heshima ya kwenda England kukipiga na watani hao wa jadi wa Liverpool.

Mashindano hayo yatakayofanyika kuanzia Juni 3 hadi 10 nchini Kenya, yatahusisha timu za Simba, Yanga, Singida United na JKU ya Zanzibar kutoka Tanzania.

Nyingine zinazotarajiwa kushiriki ni za wenyeji Kenya ambazo ni Gor Mahia, AFC Leopards, Kariobangi Sharks na Kakamega Homeboys. Wawakilishi wa Simba na Yanga, Said Tully na Charles Mkwassa, walithibitisha kuwa lazima wapeleke nyota wao wote tofauti na msimu uliopita ambapo, walichezesha timu za vijana.

“Kama timu tumejiandaa na tupo tayari kuhakikisha tunalinda heshima ya Simba na Tanzania kwa ujumla. Tutakwenda na kikosi kamili ili kuendeleza ubabe kama tulivyofanya msimu huu kwenye ligi,” alisema Tully aliyeongozana na Ofisa Habari wao, Haji Manara.

Naye Manara alisema: “Fedha za ubingwa zitakwenda kwa wachezaji endapo wataifanya kazi hiyo kwa ukamilifu. Tunataka heshima, pesa watagawana.”

Kwa upande wake Mkwasa alisema: “Tulikuwa tukisumbuliwa na majeraha kwa baadhi ya wachezaji muhimu ndio maana tuliteleza, hii ni nafasi nyingine kwenda kutwaa ubingwa huo ili tucheze na Everton.”

Mbali ya bingwa kujizolea dola 30, 000, timu zitakazoshika nafasi ya pili na tatu zitapata kifuta jasho cha dola 7,500 na dola 5,000 (Sh16 milioni na Sh 11 milioni). Kabla ya mashindano hayo kila timu itapewa dola 10,000 (Sh22 milioni) kwa ajili ya maandalizi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...