Skip to main content

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Ashantu Kijaji amezindua Programu tatu za huduma za Bima na hifadhi za jamii katika Chuo cha IFM

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Ashantu Kijaji amezindua 
Programu tatu za huduma za Bima na hifadhi za jamii katika 
kitivo cha bima na hifadhi za jamii cha Chuo cha Usimamizi
wa Fedha (IFM).

Shahada ZA uzamili zilizinduliwa ni Master of Scence in Social 
Protection Policy and Development , Master of Science Isuarance 
and Acturial Science  pamoja na bachelor of Science in Acturial
Sciences.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Dar es Salaam hivi karibuni
Dr Kijaji alisema  kuzinduliwa kwa programu hizi ni mkombozi
kwa watoa huduma ya bima kwani sekta bima na hifadhi ya jamii ni ndogo
kutokana na wananchi kukosa elimu na kufanya sekta ya bima na hifadhi ya
jamii kuchangia asilimia moja katika  pato la Taifa.



"Mchango wa sekta ya bima katika uchumi ni mdogo kutokana na uelewa
mdogo wa wananchi jambo ambalo litapunguzwa na kupata wasomi wengi
wenye weledi mkubwa katika huifadhi wa jamii,"alisema.


Alisema wataalam hawa watakao zalishwa nidhahili wataongeza wateja 
watumia huduma za bima katika nyanjazote kwani tayari wanao ushawishi 
mkubwa na mbinu za jinsi ya kuelimisha wananchi, wakaelewa umuhimu
wa kutumia bima.

  Kwa upande wake mratibu wa programu hizo Zubeda Chande ambaye pia ni
Mkufunzi katika Idara ya Hifadhi ya Jamii pamoja na bima amesema
kwa kiasi kikubwa programu hizo zitakuwa na mchango mkubwa wa kuelimi
sha Umma umuhimu wa kununua bima na kujiunga na mifuko ya hifadhi ya 
jamii ambayo awali watu wanaonekana kutoipa kipaumbele katika maisha
yao ya kila siku.


  "Sisi kama menejimenti ya IFM tumefanya utafiti na kugundua watu wengi
hapa nchini hawajajiunga na huduma za bima pamoja na hifadhi za jamii,
utafiti huu tumefanya katika nyanja zote za bima hali ambayo imetoa
msukumo kuanzisha programu hizi ambazo kwazo huduma za bima na hifadhi za
za jamii zitasambaa kwa kiasi kikubwa kwa wananchi kwani wanafunzi
wetu tunawawezesha kifedha kuwazungukia wananchi mikoani na kufanya
utafiti juu ni kwanini watu wengi hawataki kununua bima au kujiunga
na mifuko ya hifadhi ya jamii,"alimaliza Chande.

Pichani ni Mohammed Jaffer ambaye ni rais wa chama cha madalali wa 
Bima


  Naye mwanafunzi wa kituvo hicho Donald Masai alisema  kufikia mwaka
2025 uchumi wa Tanzania utakuwa umefikia uchumi wa kati ambao utawezesha
kila mwananchi kuchangia pato la Taifa kupitia matumizi ya bima.

 "Katika suala zima la ukuaji wa uchumi lazimaukutane na changamoto nyingi
ambazo kimsingi ukitaka usiumize akili katika masuala muhimu ya maisha
wewe jiunge na bima ambazo zitakupunguzia maumivu katika yote unayofanya
na unayokusudia kwani yakikwama kwa changamoto zilizokinyume na uwezo
wako bima inakulipa unaanza upya,"alisema Masai.

Wanafunzi watakao fuzu vyema programu hizo watafadhiliwa na Umoja
wa Ulaya kwenda kusoma nje kwa kupata weledi zaidi.


kwa upande wake Mohammed Jaffer ambaye ni rais wa chama cha madalali wa 
bima alisema  kwa nchi zinazoendelea kiuchumi kama Tanzania,ilikufikia
uchumi wa viwanda ni vyema kila mwananchi kutumia huduma za Bima
katika nyanja zote hili apate kuishi kwa amani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...