Skip to main content

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Ashantu Kijaji amezindua Programu tatu za huduma za Bima na hifadhi za jamii katika Chuo cha IFM

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Ashantu Kijaji amezindua 
Programu tatu za huduma za Bima na hifadhi za jamii katika 
kitivo cha bima na hifadhi za jamii cha Chuo cha Usimamizi
wa Fedha (IFM).

Shahada ZA uzamili zilizinduliwa ni Master of Scence in Social 
Protection Policy and Development , Master of Science Isuarance 
and Acturial Science  pamoja na bachelor of Science in Acturial
Sciences.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Dar es Salaam hivi karibuni
Dr Kijaji alisema  kuzinduliwa kwa programu hizi ni mkombozi
kwa watoa huduma ya bima kwani sekta bima na hifadhi ya jamii ni ndogo
kutokana na wananchi kukosa elimu na kufanya sekta ya bima na hifadhi ya
jamii kuchangia asilimia moja katika  pato la Taifa.



"Mchango wa sekta ya bima katika uchumi ni mdogo kutokana na uelewa
mdogo wa wananchi jambo ambalo litapunguzwa na kupata wasomi wengi
wenye weledi mkubwa katika huifadhi wa jamii,"alisema.


Alisema wataalam hawa watakao zalishwa nidhahili wataongeza wateja 
watumia huduma za bima katika nyanjazote kwani tayari wanao ushawishi 
mkubwa na mbinu za jinsi ya kuelimisha wananchi, wakaelewa umuhimu
wa kutumia bima.

  Kwa upande wake mratibu wa programu hizo Zubeda Chande ambaye pia ni
Mkufunzi katika Idara ya Hifadhi ya Jamii pamoja na bima amesema
kwa kiasi kikubwa programu hizo zitakuwa na mchango mkubwa wa kuelimi
sha Umma umuhimu wa kununua bima na kujiunga na mifuko ya hifadhi ya 
jamii ambayo awali watu wanaonekana kutoipa kipaumbele katika maisha
yao ya kila siku.


  "Sisi kama menejimenti ya IFM tumefanya utafiti na kugundua watu wengi
hapa nchini hawajajiunga na huduma za bima pamoja na hifadhi za jamii,
utafiti huu tumefanya katika nyanja zote za bima hali ambayo imetoa
msukumo kuanzisha programu hizi ambazo kwazo huduma za bima na hifadhi za
za jamii zitasambaa kwa kiasi kikubwa kwa wananchi kwani wanafunzi
wetu tunawawezesha kifedha kuwazungukia wananchi mikoani na kufanya
utafiti juu ni kwanini watu wengi hawataki kununua bima au kujiunga
na mifuko ya hifadhi ya jamii,"alimaliza Chande.

Pichani ni Mohammed Jaffer ambaye ni rais wa chama cha madalali wa 
Bima


  Naye mwanafunzi wa kituvo hicho Donald Masai alisema  kufikia mwaka
2025 uchumi wa Tanzania utakuwa umefikia uchumi wa kati ambao utawezesha
kila mwananchi kuchangia pato la Taifa kupitia matumizi ya bima.

 "Katika suala zima la ukuaji wa uchumi lazimaukutane na changamoto nyingi
ambazo kimsingi ukitaka usiumize akili katika masuala muhimu ya maisha
wewe jiunge na bima ambazo zitakupunguzia maumivu katika yote unayofanya
na unayokusudia kwani yakikwama kwa changamoto zilizokinyume na uwezo
wako bima inakulipa unaanza upya,"alisema Masai.

Wanafunzi watakao fuzu vyema programu hizo watafadhiliwa na Umoja
wa Ulaya kwenda kusoma nje kwa kupata weledi zaidi.


kwa upande wake Mohammed Jaffer ambaye ni rais wa chama cha madalali wa 
bima alisema  kwa nchi zinazoendelea kiuchumi kama Tanzania,ilikufikia
uchumi wa viwanda ni vyema kila mwananchi kutumia huduma za Bima
katika nyanja zote hili apate kuishi kwa amani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...