Skip to main content

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Ashantu Kijaji amezindua Programu tatu za huduma za Bima na hifadhi za jamii katika Chuo cha IFM

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Ashantu Kijaji amezindua 
Programu tatu za huduma za Bima na hifadhi za jamii katika 
kitivo cha bima na hifadhi za jamii cha Chuo cha Usimamizi
wa Fedha (IFM).

Shahada ZA uzamili zilizinduliwa ni Master of Scence in Social 
Protection Policy and Development , Master of Science Isuarance 
and Acturial Science  pamoja na bachelor of Science in Acturial
Sciences.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Dar es Salaam hivi karibuni
Dr Kijaji alisema  kuzinduliwa kwa programu hizi ni mkombozi
kwa watoa huduma ya bima kwani sekta bima na hifadhi ya jamii ni ndogo
kutokana na wananchi kukosa elimu na kufanya sekta ya bima na hifadhi ya
jamii kuchangia asilimia moja katika  pato la Taifa.



"Mchango wa sekta ya bima katika uchumi ni mdogo kutokana na uelewa
mdogo wa wananchi jambo ambalo litapunguzwa na kupata wasomi wengi
wenye weledi mkubwa katika huifadhi wa jamii,"alisema.


Alisema wataalam hawa watakao zalishwa nidhahili wataongeza wateja 
watumia huduma za bima katika nyanjazote kwani tayari wanao ushawishi 
mkubwa na mbinu za jinsi ya kuelimisha wananchi, wakaelewa umuhimu
wa kutumia bima.

  Kwa upande wake mratibu wa programu hizo Zubeda Chande ambaye pia ni
Mkufunzi katika Idara ya Hifadhi ya Jamii pamoja na bima amesema
kwa kiasi kikubwa programu hizo zitakuwa na mchango mkubwa wa kuelimi
sha Umma umuhimu wa kununua bima na kujiunga na mifuko ya hifadhi ya 
jamii ambayo awali watu wanaonekana kutoipa kipaumbele katika maisha
yao ya kila siku.


  "Sisi kama menejimenti ya IFM tumefanya utafiti na kugundua watu wengi
hapa nchini hawajajiunga na huduma za bima pamoja na hifadhi za jamii,
utafiti huu tumefanya katika nyanja zote za bima hali ambayo imetoa
msukumo kuanzisha programu hizi ambazo kwazo huduma za bima na hifadhi za
za jamii zitasambaa kwa kiasi kikubwa kwa wananchi kwani wanafunzi
wetu tunawawezesha kifedha kuwazungukia wananchi mikoani na kufanya
utafiti juu ni kwanini watu wengi hawataki kununua bima au kujiunga
na mifuko ya hifadhi ya jamii,"alimaliza Chande.

Pichani ni Mohammed Jaffer ambaye ni rais wa chama cha madalali wa 
Bima


  Naye mwanafunzi wa kituvo hicho Donald Masai alisema  kufikia mwaka
2025 uchumi wa Tanzania utakuwa umefikia uchumi wa kati ambao utawezesha
kila mwananchi kuchangia pato la Taifa kupitia matumizi ya bima.

 "Katika suala zima la ukuaji wa uchumi lazimaukutane na changamoto nyingi
ambazo kimsingi ukitaka usiumize akili katika masuala muhimu ya maisha
wewe jiunge na bima ambazo zitakupunguzia maumivu katika yote unayofanya
na unayokusudia kwani yakikwama kwa changamoto zilizokinyume na uwezo
wako bima inakulipa unaanza upya,"alisema Masai.

Wanafunzi watakao fuzu vyema programu hizo watafadhiliwa na Umoja
wa Ulaya kwenda kusoma nje kwa kupata weledi zaidi.


kwa upande wake Mohammed Jaffer ambaye ni rais wa chama cha madalali wa 
bima alisema  kwa nchi zinazoendelea kiuchumi kama Tanzania,ilikufikia
uchumi wa viwanda ni vyema kila mwananchi kutumia huduma za Bima
katika nyanja zote hili apate kuishi kwa amani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.