Skip to main content

SUMATRA : yawanao wadau kanuni za leseni ya usafirishaji magari ya kubeba mizigo

Mamlaka ya Usimamizi wa vyombo vya usafiri vya Majini na Nchi
kavu (Sumatra )watoa semina  yenye malengo ya kutoka elimu ya
namna ya uendeshaji wa sekta ya usafiri.



Akizungumza Dar es Salaam  Mkurugenzi wa udhibiti na Usalama
Barabarani Johansen Kahatano alisema wamiliki na madereva
wengi wamekuwa wakikiuka wajibu wao hivyo semina hiyo ina malengo
ya kutoka elimu ya namna ya uendeshaji wa sekta ya usafiri kwa
mujibu wa sheria.
Image result for Wadau wa usafirishaji wa malori ya  Mizigo
Mamlaka ya Usimamizi wa vyombo vya usafiri vya Majini na Nchi
kavu (Sumatra )watoa semina  yenye malengo ya kutoka elimu ya
namna ya uendeshaji wa sekta ya usafiri.



Akizungumza Dar es Salaam  Mkurugenzi wa udhibiti na Usalama
Barabarani Johansen Kahatano alisema wamiliki na madereva
wengi wamekuwa wakikiuka wajibu wao hivyo semina hiyo ina malengo
ya kutoka elimu ya namna ya uendeshaji wa sekta ya usafiri kwa
mujibu wa sheria.

Alisema semina hiyo ya Wadau wa Usafirishaji wakiwemo Wamiliki na
Madereva,imeendeshwa  katika mikoa tofauti ya Dar es
salaam,Mbeya ,Arusha na Mwanza baada ya Sumatra kubaini
kuwa bado kuna chngamoto kubwa katika mifumo ya usafirishaji
hususani usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi.

"Kanuni  za leseni za Usafirishaji  magari ya kubeba mizigo zimetengenezwa
chini ya vifungu vya sheria nchini ambapo wamiliki na madereva
wanatakiwa kivifuta ambapo wengi wamekuwa wakikiuka,"alisema Kahatano huku
akisisi tiza wadau wa usafiri kufuata sheria zilizotungwa nchini.



Katika semina hiyo Wadau wa usafirishaji wa Abiria na Mizigo wameiomba
serikali kupunguza tozo mbalimbali za kodi ambazo zimekuwa changamoto
kubwa  katika uendeshaji wa sekta hiyo.

Semina iliyoandaliwa Sumatra ,wadau hao wameiomba  serikali
kuwapunguzia kodi mbalimbali ,wakitolea mfano kodi ya mafuta
kwa kiwango kikubwa,hali ambayo inawafanya kushindwa kumudu
gharama za uendeshaji wa Huduma za usafirishaji..

Mmoja wa Wadau hao Chuki Shaabani ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha
Wamiliaki wa Malori Wadogo na Wakati Nchini (TAMSTOA )amewambia
wanahabari kuwa changamoto kubwa zinazowakumba ni ,uharibifu wa
miundo mbinu ya barabara, pamoja na  sheria  mbalimbali
za usafirishaji .

Kwa upande wake Mhadhiri Mstaafu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji
(NIT) Thomas Mwaipopo ambaye alikuwa mwenyekiti wa semina hiyo,
amesema kwamba baadhi ya wamiliki wa vyombo vya usafiri wamekuwa
wakiajili madereva ambao hawana taaluma husika, hali ambayo
inachangia kushindwa kubaini usalama wa magari wanapokuwa kazini
na kusababisha ajari mbalimbali za barabarani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.