Skip to main content

SUMATRA : yawanao wadau kanuni za leseni ya usafirishaji magari ya kubeba mizigo

Mamlaka ya Usimamizi wa vyombo vya usafiri vya Majini na Nchi
kavu (Sumatra )watoa semina  yenye malengo ya kutoka elimu ya
namna ya uendeshaji wa sekta ya usafiri.



Akizungumza Dar es Salaam  Mkurugenzi wa udhibiti na Usalama
Barabarani Johansen Kahatano alisema wamiliki na madereva
wengi wamekuwa wakikiuka wajibu wao hivyo semina hiyo ina malengo
ya kutoka elimu ya namna ya uendeshaji wa sekta ya usafiri kwa
mujibu wa sheria.
Image result for Wadau wa usafirishaji wa malori ya  Mizigo
Mamlaka ya Usimamizi wa vyombo vya usafiri vya Majini na Nchi
kavu (Sumatra )watoa semina  yenye malengo ya kutoka elimu ya
namna ya uendeshaji wa sekta ya usafiri.



Akizungumza Dar es Salaam  Mkurugenzi wa udhibiti na Usalama
Barabarani Johansen Kahatano alisema wamiliki na madereva
wengi wamekuwa wakikiuka wajibu wao hivyo semina hiyo ina malengo
ya kutoka elimu ya namna ya uendeshaji wa sekta ya usafiri kwa
mujibu wa sheria.

Alisema semina hiyo ya Wadau wa Usafirishaji wakiwemo Wamiliki na
Madereva,imeendeshwa  katika mikoa tofauti ya Dar es
salaam,Mbeya ,Arusha na Mwanza baada ya Sumatra kubaini
kuwa bado kuna chngamoto kubwa katika mifumo ya usafirishaji
hususani usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi.

"Kanuni  za leseni za Usafirishaji  magari ya kubeba mizigo zimetengenezwa
chini ya vifungu vya sheria nchini ambapo wamiliki na madereva
wanatakiwa kivifuta ambapo wengi wamekuwa wakikiuka,"alisema Kahatano huku
akisisi tiza wadau wa usafiri kufuata sheria zilizotungwa nchini.



Katika semina hiyo Wadau wa usafirishaji wa Abiria na Mizigo wameiomba
serikali kupunguza tozo mbalimbali za kodi ambazo zimekuwa changamoto
kubwa  katika uendeshaji wa sekta hiyo.

Semina iliyoandaliwa Sumatra ,wadau hao wameiomba  serikali
kuwapunguzia kodi mbalimbali ,wakitolea mfano kodi ya mafuta
kwa kiwango kikubwa,hali ambayo inawafanya kushindwa kumudu
gharama za uendeshaji wa Huduma za usafirishaji..

Mmoja wa Wadau hao Chuki Shaabani ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha
Wamiliaki wa Malori Wadogo na Wakati Nchini (TAMSTOA )amewambia
wanahabari kuwa changamoto kubwa zinazowakumba ni ,uharibifu wa
miundo mbinu ya barabara, pamoja na  sheria  mbalimbali
za usafirishaji .

Kwa upande wake Mhadhiri Mstaafu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji
(NIT) Thomas Mwaipopo ambaye alikuwa mwenyekiti wa semina hiyo,
amesema kwamba baadhi ya wamiliki wa vyombo vya usafiri wamekuwa
wakiajili madereva ambao hawana taaluma husika, hali ambayo
inachangia kushindwa kubaini usalama wa magari wanapokuwa kazini
na kusababisha ajari mbalimbali za barabarani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...