Skip to main content

Askofu Dr.Malasusa azindua jengo la kanisa la ushirika wa kimara

ASKOFU wa dayosisi ya mashariki na pwani Dr.Alex Malasusa jana amezindua jengo 
la kanisa la ushirika wa kimara lenye thamani ya shilingi billion 5.1 na kuhimiza 
ushirikiano,upendo na amani katika kuleta maendeleo.

Mbali na hilo Askofu amezindua shule ya awali na msingi ya Jerusaremu sambamba
na kuweka jiwe la msingi katika kituo cha kulelea watoto yatima na hospitali
itakayotoa huduma mbali mbali ikiwemo rufaa .

Tukio hilo lilitokea jana Dar es Salaam na kuandika historia kubwa ya kipekee katika 
ujenzi wa makanisa hapa nchini ambapo wageni kutoka makanisa mengine walihudhuria
sambamba na kutoa salamu zao .
Askofu alisema makanisa yapo duniani kwaajili ya kusambaza upendo kwa watu wote
na uponywaji wa kiroho ambapo mwanadamu haponi kwa sindano na vidonge bali uponywa
kwa neno la Mungu.

"Kanisa lazima kitovu cha upatanishi hivyo wakazi wa eneo hili dumisheni upendo
katika kumtumikia Mungu na kuwa chachu ya maendeleo na kuwa wazazi wapeleke
watoto wao katika nyumba za Ibada hili wapate kumtumikia Mungu wakingali wadogo
na kukua katika maadili mema ya kumcha mwenyezi Mungu,"alisema Askofu Dr.Malasusa .



Dr.Malasusa alisema kanisa hilo liwe kiu ya uhadilifu na kumpongeza mchungaji
kiongozi wa Ushirika wa Kimara Mchungaji Willbroad Mastai kwa ukamilishi wa 
ujenzi wa kanisa hilo ambapo aliwataka makanisa mengine kuiga mfano huo.

Katika taarifa za uwasilishwaji kutoka katika kanisa hilo zilizotolewa na Ushirika
wa Kimara zilisema kuwa awali kanisa hilo lilikuwa limejengwa kwa miti na kukandikwa kwa
udongo ambapo idadi ya washiriki ilikuwa ikiongezeka nandipo Kanisa la matofali lilipo
jengwa.

Hakitoa taarifa ya mipango mikakati ya Ushirika wa Kimara Dkt.Evelyn Mduma alisema
mipango mikakati hiyo ililenga kukamilisha mkakati wa Jimbo na hatimaye Dayosisi ya
Mashariki na Pwani.


Alisema kanisa hilo limekuwa likikamilisha kwa kutoa huduma mbali mbali za kijamii ikiwemo
kuwalipia ada na kutoa matumizi mbali mbali ya wanafunzi, kununua sare za shule na vitabu
kwa watoto yatima,pia kutoa misaada kwa wanaopata majanga mbali mbali na kutoa sadaka kwaajili
ya wagonjwa wa Kansa pamoja na kutoa misaada ya kibinadamu kwa wajane.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...