Skip to main content

Askofu Dr.Malasusa azindua jengo la kanisa la ushirika wa kimara

ASKOFU wa dayosisi ya mashariki na pwani Dr.Alex Malasusa jana amezindua jengo 
la kanisa la ushirika wa kimara lenye thamani ya shilingi billion 5.1 na kuhimiza 
ushirikiano,upendo na amani katika kuleta maendeleo.

Mbali na hilo Askofu amezindua shule ya awali na msingi ya Jerusaremu sambamba
na kuweka jiwe la msingi katika kituo cha kulelea watoto yatima na hospitali
itakayotoa huduma mbali mbali ikiwemo rufaa .

Tukio hilo lilitokea jana Dar es Salaam na kuandika historia kubwa ya kipekee katika 
ujenzi wa makanisa hapa nchini ambapo wageni kutoka makanisa mengine walihudhuria
sambamba na kutoa salamu zao .
Askofu alisema makanisa yapo duniani kwaajili ya kusambaza upendo kwa watu wote
na uponywaji wa kiroho ambapo mwanadamu haponi kwa sindano na vidonge bali uponywa
kwa neno la Mungu.

"Kanisa lazima kitovu cha upatanishi hivyo wakazi wa eneo hili dumisheni upendo
katika kumtumikia Mungu na kuwa chachu ya maendeleo na kuwa wazazi wapeleke
watoto wao katika nyumba za Ibada hili wapate kumtumikia Mungu wakingali wadogo
na kukua katika maadili mema ya kumcha mwenyezi Mungu,"alisema Askofu Dr.Malasusa .



Dr.Malasusa alisema kanisa hilo liwe kiu ya uhadilifu na kumpongeza mchungaji
kiongozi wa Ushirika wa Kimara Mchungaji Willbroad Mastai kwa ukamilishi wa 
ujenzi wa kanisa hilo ambapo aliwataka makanisa mengine kuiga mfano huo.

Katika taarifa za uwasilishwaji kutoka katika kanisa hilo zilizotolewa na Ushirika
wa Kimara zilisema kuwa awali kanisa hilo lilikuwa limejengwa kwa miti na kukandikwa kwa
udongo ambapo idadi ya washiriki ilikuwa ikiongezeka nandipo Kanisa la matofali lilipo
jengwa.

Hakitoa taarifa ya mipango mikakati ya Ushirika wa Kimara Dkt.Evelyn Mduma alisema
mipango mikakati hiyo ililenga kukamilisha mkakati wa Jimbo na hatimaye Dayosisi ya
Mashariki na Pwani.


Alisema kanisa hilo limekuwa likikamilisha kwa kutoa huduma mbali mbali za kijamii ikiwemo
kuwalipia ada na kutoa matumizi mbali mbali ya wanafunzi, kununua sare za shule na vitabu
kwa watoto yatima,pia kutoa misaada kwa wanaopata majanga mbali mbali na kutoa sadaka kwaajili
ya wagonjwa wa Kansa pamoja na kutoa misaada ya kibinadamu kwa wajane.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.