Skip to main content

Askofu Dr.Malasusa azindua jengo la kanisa la ushirika wa kimara

ASKOFU wa dayosisi ya mashariki na pwani Dr.Alex Malasusa jana amezindua jengo 
la kanisa la ushirika wa kimara lenye thamani ya shilingi billion 5.1 na kuhimiza 
ushirikiano,upendo na amani katika kuleta maendeleo.

Mbali na hilo Askofu amezindua shule ya awali na msingi ya Jerusaremu sambamba
na kuweka jiwe la msingi katika kituo cha kulelea watoto yatima na hospitali
itakayotoa huduma mbali mbali ikiwemo rufaa .

Tukio hilo lilitokea jana Dar es Salaam na kuandika historia kubwa ya kipekee katika 
ujenzi wa makanisa hapa nchini ambapo wageni kutoka makanisa mengine walihudhuria
sambamba na kutoa salamu zao .
Askofu alisema makanisa yapo duniani kwaajili ya kusambaza upendo kwa watu wote
na uponywaji wa kiroho ambapo mwanadamu haponi kwa sindano na vidonge bali uponywa
kwa neno la Mungu.

"Kanisa lazima kitovu cha upatanishi hivyo wakazi wa eneo hili dumisheni upendo
katika kumtumikia Mungu na kuwa chachu ya maendeleo na kuwa wazazi wapeleke
watoto wao katika nyumba za Ibada hili wapate kumtumikia Mungu wakingali wadogo
na kukua katika maadili mema ya kumcha mwenyezi Mungu,"alisema Askofu Dr.Malasusa .



Dr.Malasusa alisema kanisa hilo liwe kiu ya uhadilifu na kumpongeza mchungaji
kiongozi wa Ushirika wa Kimara Mchungaji Willbroad Mastai kwa ukamilishi wa 
ujenzi wa kanisa hilo ambapo aliwataka makanisa mengine kuiga mfano huo.

Katika taarifa za uwasilishwaji kutoka katika kanisa hilo zilizotolewa na Ushirika
wa Kimara zilisema kuwa awali kanisa hilo lilikuwa limejengwa kwa miti na kukandikwa kwa
udongo ambapo idadi ya washiriki ilikuwa ikiongezeka nandipo Kanisa la matofali lilipo
jengwa.

Hakitoa taarifa ya mipango mikakati ya Ushirika wa Kimara Dkt.Evelyn Mduma alisema
mipango mikakati hiyo ililenga kukamilisha mkakati wa Jimbo na hatimaye Dayosisi ya
Mashariki na Pwani.


Alisema kanisa hilo limekuwa likikamilisha kwa kutoa huduma mbali mbali za kijamii ikiwemo
kuwalipia ada na kutoa matumizi mbali mbali ya wanafunzi, kununua sare za shule na vitabu
kwa watoto yatima,pia kutoa misaada kwa wanaopata majanga mbali mbali na kutoa sadaka kwaajili
ya wagonjwa wa Kansa pamoja na kutoa misaada ya kibinadamu kwa wajane.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...