Skip to main content

Wadau wachangia vifaa vya michezo Shule ya Gezaulole



Wadauwamichezo kata ya somangila wameamuakujitolea vifaa
mbalimbali vya michezo kwa wanafunzi wa shule ya msingi Gezaulole
hapo jana katika kuazimisha siku ya wafanyakazi nchini.



Wadau hao walikabidhi vifaa hivyo mbele ya mwenyekiti wa
bodi ya shule ndugu Peter M.Maganga ambaye aliongozana na
mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mbwamaji ndugu Yohana
Luhemeja pamojana baadhi ya wajumbe wa bodi hiyo akiwamo mwa
limu mkuu wa shule hiyo Bi Mariam Kinande pamojana
 wananchi waishio jilani nashu lehiyo.





Wengine walioshuhudia makabidhiano hayoni walimunawanafunzi
washule hiyo, pia wanafunzi wazamaniwaliosoma katika shule
hiyo miaka yakuanzia mwaka 1980 nakuendelea.

Akizungumza baada ya kupokea vifaa hivyo ambavyo vilijumusha
seti ya jezi za mpira wa miguu kwawavulana, mipira 2, kadi
za refarii, filimbi na beji ya nahodha, mwalimumkuu wa shule
hiyo aliwashukuru wadau hao kwamoyo wa upendo na ukarimu
walio uonyesha.

"Nashukuru kupokea vifaa hivyo ambavyo vimejumui sha
seti ya jezi za mpira wa miguu kwawavulana, mipira 2, kadi
za refarii, kwa msaada huu japo kwenu mnauona kidogo ila
kwangumimi nikiku bwasana”.Maganga

Amesema amewashukuru  wadau hao kwa ushirikiano waliounyesha katika kutatua
moja ya changamoto zilizokua zinaikabili shule hiyo licha ya kufanya
vizuri katika michezo kiwilaya hadi kupelekea timu ya wasichana
ya netiboli kwa wilaya ya kuundwa na wachezaji kutoka
shule hiyo pekee.

Hata hi vyo mwenyekiti huyo aliomba wadau hao kusaidia
kutatua changamoto zingine zinazoikabili shule hiyo hasa
Ukosefu wa umeme kwanyumba za walimu na madarasa .

"Tunawaomba wadau pia msaidie upatikanaji wa umeme ambao
utagharimu kiasi cha shilingi milioni tatu ambapo mpa
ka sasatumekusanya nusu ya pesa hizo”.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake,mmoja wa wadau hao Pius
Ngwasho amewasisitiza umuhimu wa kusaidia maendeleo ya michezo
kuanzia chini kwani michezo niajira na huleta furaha na afya
njema kwavijana.

"Ninajisikiafaraja kusaidia vifaa hivyo kwa wanafunzi hawa kwami
chezo hujenga mwili na kuongeza uwezo wa kufikiri hivyo ufaulu pi
a utaongezeka.

Licha ya kusaidia vifaa hivyo wadau hao pia walitoa ahadi ya kusaidi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...