Skip to main content

Wadau wachangia vifaa vya michezo Shule ya Gezaulole



Wadauwamichezo kata ya somangila wameamuakujitolea vifaa
mbalimbali vya michezo kwa wanafunzi wa shule ya msingi Gezaulole
hapo jana katika kuazimisha siku ya wafanyakazi nchini.



Wadau hao walikabidhi vifaa hivyo mbele ya mwenyekiti wa
bodi ya shule ndugu Peter M.Maganga ambaye aliongozana na
mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mbwamaji ndugu Yohana
Luhemeja pamojana baadhi ya wajumbe wa bodi hiyo akiwamo mwa
limu mkuu wa shule hiyo Bi Mariam Kinande pamojana
 wananchi waishio jilani nashu lehiyo.





Wengine walioshuhudia makabidhiano hayoni walimunawanafunzi
washule hiyo, pia wanafunzi wazamaniwaliosoma katika shule
hiyo miaka yakuanzia mwaka 1980 nakuendelea.

Akizungumza baada ya kupokea vifaa hivyo ambavyo vilijumusha
seti ya jezi za mpira wa miguu kwawavulana, mipira 2, kadi
za refarii, filimbi na beji ya nahodha, mwalimumkuu wa shule
hiyo aliwashukuru wadau hao kwamoyo wa upendo na ukarimu
walio uonyesha.

"Nashukuru kupokea vifaa hivyo ambavyo vimejumui sha
seti ya jezi za mpira wa miguu kwawavulana, mipira 2, kadi
za refarii, kwa msaada huu japo kwenu mnauona kidogo ila
kwangumimi nikiku bwasana”.Maganga

Amesema amewashukuru  wadau hao kwa ushirikiano waliounyesha katika kutatua
moja ya changamoto zilizokua zinaikabili shule hiyo licha ya kufanya
vizuri katika michezo kiwilaya hadi kupelekea timu ya wasichana
ya netiboli kwa wilaya ya kuundwa na wachezaji kutoka
shule hiyo pekee.

Hata hi vyo mwenyekiti huyo aliomba wadau hao kusaidia
kutatua changamoto zingine zinazoikabili shule hiyo hasa
Ukosefu wa umeme kwanyumba za walimu na madarasa .

"Tunawaomba wadau pia msaidie upatikanaji wa umeme ambao
utagharimu kiasi cha shilingi milioni tatu ambapo mpa
ka sasatumekusanya nusu ya pesa hizo”.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake,mmoja wa wadau hao Pius
Ngwasho amewasisitiza umuhimu wa kusaidia maendeleo ya michezo
kuanzia chini kwani michezo niajira na huleta furaha na afya
njema kwavijana.

"Ninajisikiafaraja kusaidia vifaa hivyo kwa wanafunzi hawa kwami
chezo hujenga mwili na kuongeza uwezo wa kufikiri hivyo ufaulu pi
a utaongezeka.

Licha ya kusaidia vifaa hivyo wadau hao pia walitoa ahadi ya kusaidi

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.