Skip to main content

Milinkovic-Savic kwenda Manchester United

JOSE MOURINHO anadaiwa kuidhinisha makubaliano ya usajili wa pauni milioni 80 wa kiungo wa Lazio  Sergej Milinkovic-Savic kwenda Manchester United.
Kocha huyo wa United amefanikisha mazungumzo yaliyofanyika wiki iliyopita ambayo yamenyoosha njia ya Sergej Milinkovic-Savic kuelekea Old Traffiord.
Sergej, 23, raia wa Serbia, anakwenda Old Trafford kuimarisha safu ya kiungo ambayo itakuwa bila Michael Carrick anayestaafu na Marouane Fellaini ambaye amekataa mkataba mpya wa kuendelea kutimukia  kuitumikia Manchester United.

Comments