Skip to main content

Simba kuwatema mastaa kibao msimu ujao


Kocha Mfaransa Pierre Lechantre, amepanga kufumua kikosi chake na kukisuka upya kwa mashindano ya Ligi Kuu Tanzania Bara na mashindano ya kimataifa.


Katika mkakati huo, Lechantre anatarajia kuwatema wachezaji zaidi ya saba ili kutoa nafasi kwa wapya kusajiliwa.
Simba inatarajiwa kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara msimu huu.
Hata hivyo, Lechantre atakuwa na uhakika wa kutimiza ndoto yake endapo klabu ya Simba itamuongeza mkataba mpya.
Kaimu Rais wa Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’ alisema mkataba wa Lechantre unatarajiwa kujadiliwa na Kamati ya Utendaji baada ya kumalizika mechi za Ligi Kuu Jumatatu wiki ijayo.
Akizungumza jana, Lechantre alisema anataka kuisuka Simba iwe na nguvu ya kushindana na miamba mingine ya soka Afrika katika mashindano ya kimataifa, hivyo atalazimika kuwatema baadhi ya wachezaji maarufu.
Panga la wachezaji saba linatarajia kuwapitia Juuko Murshid, Laudit Mavugo, Juma Liuzio, Jamal Mwambeleko, Mwinyi Kazimoto, Mohammed Ibrahim na Nicholas Gyan.
Kazimoto, Mavugo na Ibrahim mikataba yao inamalizika mwishoni mwa msimu huu na uwezekano wa kuongezwa ni mdogo wakati Gyan licha ya kucheza mara kwa mara anatarajiwa kutolewa kwa mkopo.
Lechantre alisema baadhi ya wachezaji hakuridhika na viwango vyao tangu alipoanza kazi Simba na ametoa baraka kutolewa kwa mkopo au kuachwa.
“Wachezaji wote ni wazuri lakini uwezo wao unazidiana, kuna baadhi ambao nitawaambia kama wamepata timu za kucheza ruksa kuondoka, wameshindwa kupata nafasi na viwango vyao vitapotea,” alisema Lechantre.
Lechantre alisema anataka washambuliaji wawili, beki wa kati na kulia, kiungo mkabaji na winga mmoja ambao watakuwa na tija katika program yake.
“Mkakati wangu kuwa na wachezaji 11 bora ambao wataanza katika kikosi cha kwanza, pia nataka watakaokuwa benchi wawe na uwezo kama walioanza kikosi cha kwanza,” alisema Lechantre.
Gharama
Msimu huu Simba ilitumia Sh1.3 bilioni katika usajili wa wachezaji 14, ambao ni Emmanuel Okwi, Haruna Niyonzima, Aishi Manula, Shomari Kapombe, Erasto Nyoni, John Bocco, Yusuph Mlipili, Salum Mbonde, Said Mohammed, Emmanuel Mseja, Ally Shomari, Jamal Mwambeleko, Poul Bukaba na Nicholas Gyan.
Thamani ya usajili iliongezeka katika dirisha dogo, baada ya kumpata beki Mghana Asante Kwasi kutoka Lipuli na kwa ujumla wao ndio walioipa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...