Skip to main content

Aliyeganda na mzigo wa wizi asimulia tukio


Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani Jonathan Shanna ameelezea jinsi walivyomtua mzigo mwizi aliyeganda na kiroba cha mahindi alichoiba huko Mlandizi Kibaha.

Mapema leo kijana huyo aitwae, Frank Joseph mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Mbezi alijisalimisha polisi baada ya kuiba mzigo wa mahindi na kushindwa kuutua.
Kamanda Polisi amesema baada ya kijana huyo kumuona walifanya naye mahojiano na kukiri kuiba mzigo huo na kila walivyojaribu kuuondoa mzigo huo kijana huyo alipiga kelele za maumivu hali ambayo iliwafanya wamuache na kumtafuta mtu aliyeibiwa.
“Mnamo tarehe 3 mwezi wa tano mwaka 2018 majira ya saa 12 na dakika 45, huko katika kata ya Mlandizi Wilaya ya Kibaha na mkoa wa Pwani tulipata taarifa toka kwa mwenyekiti wa Mlandizi ndugu Ally kwamba kuna mtu asiyefahamika amekutwa amebeba mahindi yanayokadiriwa kuwa na uzito wa kilo 20 na ameshindwa kuyatua toka kichwani na wakati huo huo akaendelea kutueleza kwamba amezungukwa na watu wenye hasira wanataka kumuadhibu. Baada ya kupata taarifa hiyo tulifika eneo la tukio na kukuta kweli mtu huyo yupo na amebeba mahindi, tulimuamuru azitue chini lakini akashindwa na pia tukajaribu kumtua lakini tukashindwa kutokana na kelele za maumivu alizokuwa akizitoa,” alisema Kamanda.
Baada ya zoezi hilo kushindikana jeshi la polisi lilimwita mtua ambaye anadaiwa kuibiwa na kufanya manjonjo yake na muda mchache akamtua kijana huyo zigo la mahindi.
Polisi wamesema kwa sasa wapo kwenye jitihada za kumpandisha kizimbani kijana ambapo pia wamewataka wananchi kuepuka matukio ya kihalifu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.