Skip to main content

Aliyeganda na mzigo wa wizi asimulia tukio


Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani Jonathan Shanna ameelezea jinsi walivyomtua mzigo mwizi aliyeganda na kiroba cha mahindi alichoiba huko Mlandizi Kibaha.

Mapema leo kijana huyo aitwae, Frank Joseph mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Mbezi alijisalimisha polisi baada ya kuiba mzigo wa mahindi na kushindwa kuutua.
Kamanda Polisi amesema baada ya kijana huyo kumuona walifanya naye mahojiano na kukiri kuiba mzigo huo na kila walivyojaribu kuuondoa mzigo huo kijana huyo alipiga kelele za maumivu hali ambayo iliwafanya wamuache na kumtafuta mtu aliyeibiwa.
“Mnamo tarehe 3 mwezi wa tano mwaka 2018 majira ya saa 12 na dakika 45, huko katika kata ya Mlandizi Wilaya ya Kibaha na mkoa wa Pwani tulipata taarifa toka kwa mwenyekiti wa Mlandizi ndugu Ally kwamba kuna mtu asiyefahamika amekutwa amebeba mahindi yanayokadiriwa kuwa na uzito wa kilo 20 na ameshindwa kuyatua toka kichwani na wakati huo huo akaendelea kutueleza kwamba amezungukwa na watu wenye hasira wanataka kumuadhibu. Baada ya kupata taarifa hiyo tulifika eneo la tukio na kukuta kweli mtu huyo yupo na amebeba mahindi, tulimuamuru azitue chini lakini akashindwa na pia tukajaribu kumtua lakini tukashindwa kutokana na kelele za maumivu alizokuwa akizitoa,” alisema Kamanda.
Baada ya zoezi hilo kushindikana jeshi la polisi lilimwita mtua ambaye anadaiwa kuibiwa na kufanya manjonjo yake na muda mchache akamtua kijana huyo zigo la mahindi.
Polisi wamesema kwa sasa wapo kwenye jitihada za kumpandisha kizimbani kijana ambapo pia wamewataka wananchi kuepuka matukio ya kihalifu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...