Skip to main content

Jafo aagiza ndani ya siku 45 Soko la Ferry kukarabatiwa

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imeagizwa ndani ya siku 45 kulifanyia ukarabati wa miundombinu katika Soko la Kimataifa la Samaki la FErry.

Wziri wa nchi ofisi ya Rais serikali za mitaa Tamisemi Mhe. Suleiman Jafo,akizungumza na viongozi pamoja na wafanyabiashara wa Soko la Samaki la Feri


Agizo hilo limetolewa leo jijini Dar Salaam na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala
za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo katika ziara aliyoifanya sokoni hapo ambapo alikagua miundo mbinu mbalimbali ikiwemo barabara ya soko ,meza, choo pamoja na maji

Amesema kwa kuwa  wafanyabiashara soko hilo wanalipa kodi hivyo ni
wana haki ya kupatiwa miundo mbinu rafiki na salama.

Akitoa maagizo hayo amesema ndani ya siku hizo mazingira yanatakiwa
yarekebishwe na kumtaka Injinia ahakikishe barabara hiyo imetengenezwa
hadi kufikia Julai 23 atakaporudi kuangalia utekelezaji ukarabati wa miundo mbinu hiyo.


Amesema soko hilo  kubwa ambalo linakuza uchumi wao na wa nchi kwa
ujumla anataka wakina  Mamantilie waliokuwa wakifanya biashara katika eneo
hilo na kutolewa warudishwe na kuwataka akina Mamantilie hao kufuata
sheria na kuwa mlinzi kwa kila mmoja kuhakikisha wanaofanya biashara
za madawa ya kulevya wanabainishwa.

"Waliokuwa wanafanyabiashara ya chakula hapa Sokoni warudishwe na
kuendelea na kazi zao ili kuwarahisishia wafanyabiashara kupata
chakula kwa wepesi."amesema Jafo.


Aidha  amemtaka Meneja soko hilo, B. Hanje wa kuhakikisha wanatenga sehemu za
wakina Mama Ntilie ili waendelee kufanya biashara kutokana na kutolewa maeneo
hayo kwa tuhuma za kujihusisha
na madawa ya Kulevya.

Amemtaka pia Meneja wa Soko hilo kuhakikisha anatenga sehemu maalumu
ya kina Mamantilie ili waweze kuendeleza biashara yao na wanaofanya
shughuli zao hapa waweze kuwa na uhakika wa
kupata chakula sehemu salaam .

kWA upande wake Mwenyekiti wa bodi ya soko hilo ,Henry Masaba
amesema kuwa mara baada ya agizo hilo la kuboresha miundombinu wao
kama viongoziwa soko hilo watahakikisha wanafanya jitihada ili
kuboresha miundo mbinu hiyo.

Ameongeza kuwa watashugulikia  changamoto zilizopo katika soko
hilo ili kustawisha  biashara zao na kujipatia
kipato cha kuendesha maisha yao.

Meneja wa Soko hilo amefafanua kuwa kuna Jengo ambalo lipo katika soko
 hilo na kwamba linadaiwa kuwa ni la halmashauri ya Manispaa ya
Ilala ambapo hawakusanyi Kodi kutoka katika jengo hilo hivyo wanashindwa
 kulikarabati kutokana na kuwa liko chini ya manispaa.


wafanyabiashara wa soko hilo wamekiri kuwepo kwa changamoto
mbali mbali ,na na kushukuru ujio huo wa Waziri , kwa kufika
na kuwasaidia ili changamoto zao ziweze
kutatuliwa .

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.