Skip to main content

Jafo aagiza ndani ya siku 45 Soko la Ferry kukarabatiwa

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imeagizwa ndani ya siku 45 kulifanyia ukarabati wa miundombinu katika Soko la Kimataifa la Samaki la FErry.

Wziri wa nchi ofisi ya Rais serikali za mitaa Tamisemi Mhe. Suleiman Jafo,akizungumza na viongozi pamoja na wafanyabiashara wa Soko la Samaki la Feri


Agizo hilo limetolewa leo jijini Dar Salaam na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala
za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo katika ziara aliyoifanya sokoni hapo ambapo alikagua miundo mbinu mbalimbali ikiwemo barabara ya soko ,meza, choo pamoja na maji

Amesema kwa kuwa  wafanyabiashara soko hilo wanalipa kodi hivyo ni
wana haki ya kupatiwa miundo mbinu rafiki na salama.

Akitoa maagizo hayo amesema ndani ya siku hizo mazingira yanatakiwa
yarekebishwe na kumtaka Injinia ahakikishe barabara hiyo imetengenezwa
hadi kufikia Julai 23 atakaporudi kuangalia utekelezaji ukarabati wa miundo mbinu hiyo.


Amesema soko hilo  kubwa ambalo linakuza uchumi wao na wa nchi kwa
ujumla anataka wakina  Mamantilie waliokuwa wakifanya biashara katika eneo
hilo na kutolewa warudishwe na kuwataka akina Mamantilie hao kufuata
sheria na kuwa mlinzi kwa kila mmoja kuhakikisha wanaofanya biashara
za madawa ya kulevya wanabainishwa.

"Waliokuwa wanafanyabiashara ya chakula hapa Sokoni warudishwe na
kuendelea na kazi zao ili kuwarahisishia wafanyabiashara kupata
chakula kwa wepesi."amesema Jafo.


Aidha  amemtaka Meneja soko hilo, B. Hanje wa kuhakikisha wanatenga sehemu za
wakina Mama Ntilie ili waendelee kufanya biashara kutokana na kutolewa maeneo
hayo kwa tuhuma za kujihusisha
na madawa ya Kulevya.

Amemtaka pia Meneja wa Soko hilo kuhakikisha anatenga sehemu maalumu
ya kina Mamantilie ili waweze kuendeleza biashara yao na wanaofanya
shughuli zao hapa waweze kuwa na uhakika wa
kupata chakula sehemu salaam .

kWA upande wake Mwenyekiti wa bodi ya soko hilo ,Henry Masaba
amesema kuwa mara baada ya agizo hilo la kuboresha miundombinu wao
kama viongoziwa soko hilo watahakikisha wanafanya jitihada ili
kuboresha miundo mbinu hiyo.

Ameongeza kuwa watashugulikia  changamoto zilizopo katika soko
hilo ili kustawisha  biashara zao na kujipatia
kipato cha kuendesha maisha yao.

Meneja wa Soko hilo amefafanua kuwa kuna Jengo ambalo lipo katika soko
 hilo na kwamba linadaiwa kuwa ni la halmashauri ya Manispaa ya
Ilala ambapo hawakusanyi Kodi kutoka katika jengo hilo hivyo wanashindwa
 kulikarabati kutokana na kuwa liko chini ya manispaa.


wafanyabiashara wa soko hilo wamekiri kuwepo kwa changamoto
mbali mbali ,na na kushukuru ujio huo wa Waziri , kwa kufika
na kuwasaidia ili changamoto zao ziweze
kutatuliwa .

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...