Skip to main content

Niyonzima Kikosini kuusaka ubingwa Simba

Simba inahitaji pointi tano tu kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu na kiungo wao Mnyarwanda Haruna Niyonzima 'Fabregas' aliyekosa mechi dhidi ya Yanga, amerudi kuungana na wenzake na kupigania ubingwa huo waliukosa kwa takribani miaka mitano.

Niyonzima amerudi akitokea kwao Rwanda alipokuwa kwenye msiba wa dada yake anayeitwa Sumaye jambo lililomsababishia akakosa mchezo  dhidi ya Yanga mwishoni mwa mwezi uliopita.
Amerudi na kukuta timu yake inahaha kusaka pointi tano ambazo zitawatangaza kuwa mabingwa msimu huu na hiyo ni baada ya kucheza mechi 26 na kuvuna pointi 62 sasa wanahitaji hizo tano ili wafikishe 67 ambazo hazitafikiwa na timu nyingine yeyote.
Yanga ndiyo timu pekee wenye nafasi ya kuwapindua Simba kama watapoteza mechi zao baada ya kucheza mechi 24 na kufikisha pointi 49, wakishinda mechi zao zote sita zilizobaki watakuwa na 66 na ndiyo nafasi yao pekee.
Kwani Azam inayowafuata nyuma, wao wameshautema rasmi ubingwa huo kwa sababu mechi 26 walizocheza wamepata pointi 49, hata wakishinda  zote nne zilizobaki watakuwa na 61 tu.
Meneja wa Simba, Richard Robert amesema: "Haruna amesharudi na kuungana na wenzake kwenye timu kwa ajili ya maandalizi ya michezo mingine ijayo. Ameshaanza mazoezi na wenzake na kila kitu kinakwenda sawa."

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...