Skip to main content

Paul Makonda waliokabidhiwa miradi ya ujenzi kuzitendeahaki fedha za kodi za wananchi



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka Wakandarasi wote waliokabidhiwa miradi ya ujenzi wa barabara kuhakikisha wanazitengeza barabara kwa kiwango kinachotakiwa  na kwamba watakaofanya chini ya kiwango watazirudia kwa gharama zao.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Akizungumza Dar es Salaam jana katika wa Hafla fupi ya kusainisha mikataba minane ya ujenzi wa miradi ya barabara  iliyojumisha Ofisi ya mkoa huo, Wakala wa Barabara za  Vijijini na Mijini-Tanzania (TARURA) na wakandarasi mbalimbali Paul Makonda  ameitaka TARURA kuhakikisha ndani ya wiki mbili barabara zote zilizojengwa chini ya kiwango zinarudiwa.
Alisema wakandarasi wanaokabidhiwa miradi ya barabara wamekuwa na tabia ya  kutotekeleza majukumu yao ipasavyo kwani barabara wanazozijenga huharibika ndani ya muda mfupi na kusababisha adha kwa watumiaji.
“ Nitoe rai kwa wakandarasi watakaoshindwa kuzitendea haki fedha za kodi za wananchi kwa kujenga barabara chini ya kiwango watazigharamia wenyewe,” Alisema Makonda.
Amebainisha kuwa wakandarasi wanatakiwa kuacha tabia ya kutoa rushwa wakati wakidai malipo na kwamba wawasiliane na mamlaka husika walipe stahiki zao.
Amewahimiza watendaji kutenga muda wa kwenda kuangalia maendeleo ya miradi ya ujenzi wa barabara zitakazojengwa na zinazoendelea kujengwa.
Kwa upande wake, Katibu wa Bodi ya Zabuni ya Tarura mkoani humo, Devota Ndusilo ameitaja miongoni mwa  miradi ya ujenzi huo ni barabara ya Tegeta-Nyuki, Msasani-Mikocheni, Haile Sellasie na Sea Clif- Mikocheni.
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya KGG Investment Ltd, Richard Mlay amesema ana imani wakandarasi wote watazitendea haki barabara walizokabidhiwa kwa kiwango cha juu.



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...