Skip to main content

Paul Makonda waliokabidhiwa miradi ya ujenzi kuzitendeahaki fedha za kodi za wananchi



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka Wakandarasi wote waliokabidhiwa miradi ya ujenzi wa barabara kuhakikisha wanazitengeza barabara kwa kiwango kinachotakiwa  na kwamba watakaofanya chini ya kiwango watazirudia kwa gharama zao.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Akizungumza Dar es Salaam jana katika wa Hafla fupi ya kusainisha mikataba minane ya ujenzi wa miradi ya barabara  iliyojumisha Ofisi ya mkoa huo, Wakala wa Barabara za  Vijijini na Mijini-Tanzania (TARURA) na wakandarasi mbalimbali Paul Makonda  ameitaka TARURA kuhakikisha ndani ya wiki mbili barabara zote zilizojengwa chini ya kiwango zinarudiwa.
Alisema wakandarasi wanaokabidhiwa miradi ya barabara wamekuwa na tabia ya  kutotekeleza majukumu yao ipasavyo kwani barabara wanazozijenga huharibika ndani ya muda mfupi na kusababisha adha kwa watumiaji.
“ Nitoe rai kwa wakandarasi watakaoshindwa kuzitendea haki fedha za kodi za wananchi kwa kujenga barabara chini ya kiwango watazigharamia wenyewe,” Alisema Makonda.
Amebainisha kuwa wakandarasi wanatakiwa kuacha tabia ya kutoa rushwa wakati wakidai malipo na kwamba wawasiliane na mamlaka husika walipe stahiki zao.
Amewahimiza watendaji kutenga muda wa kwenda kuangalia maendeleo ya miradi ya ujenzi wa barabara zitakazojengwa na zinazoendelea kujengwa.
Kwa upande wake, Katibu wa Bodi ya Zabuni ya Tarura mkoani humo, Devota Ndusilo ameitaja miongoni mwa  miradi ya ujenzi huo ni barabara ya Tegeta-Nyuki, Msasani-Mikocheni, Haile Sellasie na Sea Clif- Mikocheni.
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya KGG Investment Ltd, Richard Mlay amesema ana imani wakandarasi wote watazitendea haki barabara walizokabidhiwa kwa kiwango cha juu.



Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.