Skip to main content

Soma alichokisema Dkt. Anjelina Mabula

Watumishi wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi wameaswa kuijiepusha na vitendo vya rushwa ili kuendelea kuongeza tija.
Akizungumza wakati akifungua Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo leo, mjini Dodoma Naibu Waziri wa Wizara hiyo,Dkt. Anjelina Mabula amesema kuwa watumishi wa Wizara hiyo lazima watambue kuwa rushwa ni adui mkubwa wa haki.
“Hatuwezi kutoa haki kama tunapokea rushwa hivyo naagiza kila mtumishi awe mlinzi wa mwenzake, ukimwona mtumishi mwenzako anajihusisha na vitendo hivyo ni vyema akachukua hatua ya kutoa taarifa kwa mkuu wako wa kazi ili hatua stahiki zichukuliwe,” alisisitiza Mabula.
Aidha Mabula alisema kuwa ni vyema watumishi wote wakajitathmini ili kuona ni wapi tunahitaji kujipanga upya ili kukidhi matarajio ya watanzania katika huduma zinazotolewa kwa wananchi.
Hata hivyo, Mabula alitoa wito kwa watumishi wote kuendelea kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za Usimamizi wa sekta ya Ardhi nchini.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.