Skip to main content

Diwani wa Kata ya Kijiji awapa fursa ya kusoma mafunzo ya kompyuta vijana 200



Diwani wa Kata ya Kijichi Eliyasa Kasim Mtarawanje 


Jumla ya vijana wapatao 200 wa kata ya Kijichi iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Temeke jijini Dar es salaam wamepata fursa ya kusoma mafunzo ya kompyuta ili kuendelea kukuza wigo wa kujiendeleza kiuchumi.

Mafunzo hayo ambayo yanatolewa bure katika kata hiyo ikiwa ni Moja ya mikakati ya kimaendeleo inayofanywa na Diwani wa Kata ya Kijichi Eliyasa Kasim Mtarawanje katika kuhakikisha vijana wanajipatia ujuzi utakaowasaidia kuweza kujikwamu kiuchumi katika ufanyaji wa kazi.

Akizungumza jana Dar es Salaam  Diwani Mtarawanje alisema amewatafuta wafadhili Digital Oportunity Trust (DOT) ili kuweza kuwasaidia vijana kuweza kujifunza mafunzo ya elimu ya kompyuta.

"Tunawashukuru sana hawa watu wa DOT kwa kutupatia fursa hii kwani takribani ya vijana 60 tayari wameshahitimu na wamepewa vyeti vyao,ambapo kila mtaa wametoka vijana 12 na ndani ya vijana hao 12 tumewapeleka vijana kufanya kazi na huku wengine kati yao nimewafungulia steshenari ili waweze kuiendesha na tutaiita Kijichi Stationer yuoth Center"amesema Diwani Mtarawanje

Aidha amesema wamepata wafadhili waitwao Open Mind ambao mpaka sasa wamekwisha wafundisha wakina mama 70 elimu ya ujasiriamali nao waweze kuboresha bidhaa zao na kujikwamua kiuchumi.

Kwa upande wake Mjumbe wa serikali ya mtaa mtoni kijichi Hanifa Idd Rashid anasema mafunzo hayo yamewajengea vijana wa kata hiyo pamoja na kina mama wajasiriamali kupata hamasa ya kujifunza mambo mbalimbali ili yaweze kuwasaidia kwenye maisha yao.

Baadhi ya vijana ambao wamepata fursa ya kupata mafunzo ya elimu ya kopyuta Peter Martin pamoja na na Hamis Abubakari wanasema ni vyema vijana wakajiwekea mazoea ya kujifunza elimu hiyi iki kuweza kufahamu yanayoendelea katika dunia hii.

Hata Hivyo Diwani Mtarawanje amewataka wananchi wa kata ya Kijichi kuendelea kuonyesha umoja na ushirikiano kwa viongozi wao ili waendelee kufanikisha mikakati waliyoipanga kwa wakati ya kuifanya Kata hiyo kuwa ya kisasa na ya mfano katika Manispaa ya Temeke.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...