Skip to main content

Diwani wa Kata ya Kijiji awapa fursa ya kusoma mafunzo ya kompyuta vijana 200



Diwani wa Kata ya Kijichi Eliyasa Kasim Mtarawanje 


Jumla ya vijana wapatao 200 wa kata ya Kijichi iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Temeke jijini Dar es salaam wamepata fursa ya kusoma mafunzo ya kompyuta ili kuendelea kukuza wigo wa kujiendeleza kiuchumi.

Mafunzo hayo ambayo yanatolewa bure katika kata hiyo ikiwa ni Moja ya mikakati ya kimaendeleo inayofanywa na Diwani wa Kata ya Kijichi Eliyasa Kasim Mtarawanje katika kuhakikisha vijana wanajipatia ujuzi utakaowasaidia kuweza kujikwamu kiuchumi katika ufanyaji wa kazi.

Akizungumza jana Dar es Salaam  Diwani Mtarawanje alisema amewatafuta wafadhili Digital Oportunity Trust (DOT) ili kuweza kuwasaidia vijana kuweza kujifunza mafunzo ya elimu ya kompyuta.

"Tunawashukuru sana hawa watu wa DOT kwa kutupatia fursa hii kwani takribani ya vijana 60 tayari wameshahitimu na wamepewa vyeti vyao,ambapo kila mtaa wametoka vijana 12 na ndani ya vijana hao 12 tumewapeleka vijana kufanya kazi na huku wengine kati yao nimewafungulia steshenari ili waweze kuiendesha na tutaiita Kijichi Stationer yuoth Center"amesema Diwani Mtarawanje

Aidha amesema wamepata wafadhili waitwao Open Mind ambao mpaka sasa wamekwisha wafundisha wakina mama 70 elimu ya ujasiriamali nao waweze kuboresha bidhaa zao na kujikwamua kiuchumi.

Kwa upande wake Mjumbe wa serikali ya mtaa mtoni kijichi Hanifa Idd Rashid anasema mafunzo hayo yamewajengea vijana wa kata hiyo pamoja na kina mama wajasiriamali kupata hamasa ya kujifunza mambo mbalimbali ili yaweze kuwasaidia kwenye maisha yao.

Baadhi ya vijana ambao wamepata fursa ya kupata mafunzo ya elimu ya kopyuta Peter Martin pamoja na na Hamis Abubakari wanasema ni vyema vijana wakajiwekea mazoea ya kujifunza elimu hiyi iki kuweza kufahamu yanayoendelea katika dunia hii.

Hata Hivyo Diwani Mtarawanje amewataka wananchi wa kata ya Kijichi kuendelea kuonyesha umoja na ushirikiano kwa viongozi wao ili waendelee kufanikisha mikakati waliyoipanga kwa wakati ya kuifanya Kata hiyo kuwa ya kisasa na ya mfano katika Manispaa ya Temeke.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.