Skip to main content

Programu tatu za huduma za Bima na hifadhi za jamii zimetajwa


CHUO cha Usimamiziwa Fedha (IFM) kimeanzisha masomo
katika programu mpya tatu katika masuala ya Huduma za
Bima na Hifadhi za Jamii katika kitivo cha bima na hifadhi
za jamii  Chuoni hapo .
Image result for Naibu Waziri wa Fedha na Mipango
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji
Hali hiyo imetaja pia itaongeza  kichocheo kingine cha kupatikana
wasomi wengi wenye weledi mkubwa katika huifadhi wa jamii
watakao fanya kazi na jamii kuielimisha hili iwe na kilimo kinacholimwa
na watu wanaoelewa nini wanacho kifanya.
Akizindua programu hizo Dar es Salaam juzi Naibu Waziri wa Fedha na Mipango
Dr. Ashatu Kijaji alisema amezindua Programu tatu za huduma za Bima na
hifadhi za jamii ambapo Programu hizo ziko katika makundi matatu
ambazo ni Sayansi ya tathimini na huai wa Bima (Masters Of Science
In Social Protection Policy  Develoment (MSPD) ambayo  watasoma
wanafunzi  wa shahada ya kwanza chuoni hapo.

Alisema Programu zilizobaki ni ya masuala ya Bima na hifadhi za jamii ambazo
watasoma wanafunzi wa shahada ya pili katika chuo hicho,mchango wa sekta ya
bima katika uchumi ni mdogo kutokana na uelewa mdogo wa wananchi jambo ambalo
litapunguzwa na kupata wasomi wengi wenye weledi kwa sasa.

"Kuzinduliwa kwa programu hizi ni mkombozi kwa watoa huduma wa bima
kwani wahitimu hao kwa kiasi kikubwa wataingiza huduma  za bima katika
kilimo hivyo kupunguza machungu ya wakulima pale ambapo mazao yanaharibika
kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo ya hali ya hewa,"alisema Dr. Kijaji.

"Watapatikana wasomi wengi wenye weledi mkubwa katika huifadhi wa jamii
watafanya kazi na jamii kuielimisha hili iwe na kilimo kinacholimwa
na watu wanaoelewa nini wanacho kifanya baada ya kuingiza kilimo
mkatika bima ambapo wanafanya kazi bila kujali mabadiliko ya hali
ya hewa au vihatalishi vya kubadilika badilika kwa bei katika oko la
mazao nchini,"Alisema Kijaji.
 Alisema wataalam hawa watakao zalishwa nidhahili wataongeza wateja
watumia huduma za bima katika nyanjazote kwani tayari wanao ushawishi
mkubwa na mbinu za jinsi ya kuelimisha wananchi, waka elewa umuhimu
wa kutumia bima.
  Kwa upande wake mratibu wa programu hizo Zubeda Chande ambaye pia ni
Mkufunzi katika Idara ya Hifadhi ya Jamii pamoja na bima walisema
kwa kiasi kikubwa programu hizo zitakuwa na mchango mkubwa wa kuelimi
sha Umma umuhimu wa kununua bima na kujiunga na mifuko ya hifadhi ya
jamii ambayo awali watu wanaonekana kutoipa kipaumbele katika maisha
yao ya kila siku.

"Sisi kama menejimenti ya IFM tumefanya utafiti na kugundua watu wengi
hapa nchini hawajajiunga na huduma za bima pamoja na hifadhi za jamii,
utafiti huu tumefanya katika nyanja zote za bima hali ambayo imetoa
msukumo kuanzisha programu hizi ambazo kwazo huduma za bima na hifadhi za
za jamii,"alisema Dr.Chande.

Alisema kwa kiasikikubwa programu hizo zitasambaa kwa kiasi kikubwa kwa
wananchi kwani wanafunzi watawawezesha kifedha kuwazungukia wananchi
mikoani na kufanya utafiti wa kujua kwanini watu wengi hawataki kununua
bima au kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii.

Naye mwanafunzi wa kituvo hicho Donald Masai amesema kufikia mwaka
2025 uchumi wa Tanzania utakuwa umefikia uchumi wa kati ambao utawezesha
kila mwananchi kuchangia pato la Taifa kupitia matumizi ya bima.
 "Katika suala zima la ukuaji wa uchumi lazimaukutane na changamoto nyingi
ambazo kimsingi ukitaka usiumize akili katika masuala muhimu ya maisha
wewe jiunge na bima ambazo zitakupunguzia maumivu katika yote unayofanya
na unayokusudia kwani yakikwama kwa changamoto zilizokinyume na uwezo
wako bima inakulipa unaanza upya,"alisema Masai.
Wanafunzi watakao fuzu vyema programu hizo watafadhiliwa na Umoja
wa Ulaya kwenda kusoma nje kwa kupata weledi zaidi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...