Skip to main content

kiasi cha shilingi bilioni 132 chafanikiwa kukusanywa na Bodi ya Mikopo

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu  imesema mpaka kufika robo tatu
ya mwaka wa  2017/18 Wamefanikiwa  kukusanya kiasi cha shilingi
bilioni 132.
Related image
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu 
mkurugenzi msaidizi  wa urejeshaji mikopo  Phidelis Joseph
amesema kuwa kwa mwaka 2006 walikuwa wakikusanya kiasi cha
shilingi bilioni  2 kwa mwezi lakini mpka kufika sasa wamekuwa
wakikusanya shilingi bilioni 15 kwa mwezi  na kudai kuwa bado
wanadai kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 250 ambazo bado ziko nje.

Aidha amewaomba waajili kuhakikisha wanawakata kiasi cha
 asilimia 15% cha mshahara   wa wajiliwa wao.

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Imekuwa na  kampeni ambayo
iliweza kuwafikia zaidi ya waajiliwa 80  na  taasisi mbalimbali
 na kuhamsisha namna ya utaratibu wa urejeshaji mikopo  na
kampeni ilianza jijini Dar es salaam ikafata Dododoma,mwanza
na kwasasa inaelekea Zanzibar

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...