Skip to main content

TIC : Inatarajia kuwekeza mitaji ya kiasi cha dolla za kimarekani zaidi ya millioni 13

Katika juhudi za kukuza uwekezaji hapa nchini, kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) ndani ya miezi minne kimefanikiwa kuandikisha miradi mipya 109 ambayo inatarajia kuwekeza mitaji ya kiasi cha dolla za kimarekani zaidi ya millioni 13 na kuajiri  wafanyakazi 18, 172.

 Image result for kituo cha uwekezaji

  Pichani Mkurugenzi Kituo cha uwekezaji nchini  Geoffrey Mwambe akizungumza na waandishi wa habari


Akizungumza jijini Dar es salaam jana  Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Geoffrey Mwambe amesema kuwa miradi hiyo imewekezwa zaidi kwenye sekta za ujenzi, viwanda,  usafirishaji, kilimo na miundombinu ambapo alimia 34.86 inamilikiwa na wageni, 2.75 ni ya ubia na 62.40 inamilikiwa na Watanzania.

Aidha Mwambe amewataka wakuu wa mikoa pamoja na wakuu wa wilaya na taasisi mbalimbali za kiserikali kukuza mazingira wezeshi ya uwekezaji ikiwemo kutenga maeneo ya kuwekeza.

Amesisitiza  wakuu wa mikoa , kufanya tasmini ya mara kwa mara ya kuhusiana na uwekezaji katika mikoa yao, ambapo amewataka kutowanyanyasa wawekezaji na kuboresha mazingira wezeshi kwa wafanyabiasha.

Amesema kuwa juhudi hizo kizifanyika kwa nguvu na msisitizo mkubwa kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta hiyo, kutawezesha kukuza uwekezaji nchini na kuibua fursa kubwa za ajira kwa vijana.

Alisisitiza kuwa endapo Serikali pamoja na taasisi mbalimbali zitaweka jitihada kubwa katika kuwekeza kwenye sekta ya viwanda kutasaidia kupanua wigo wa walipa kodi, na hatimaye kuongeza uzalishaji na kufikia uchumi wa kati.

Aidha alizitaka taasisi zote nchini pamoja na mamlaka zote husika kukuza ushirikiano na kituo hicho cha uwekezaji kuweza kujenga huelewa na kutoa miongozo ili kuweza kusimamia ujenzi wa viwanda nchini.
Pia Mkurugenzi huyo  alisema kuwa kituo chake kimeongeza ofisi nne mpya za kanda katika mikoa ya Dodoma, Dar es salaam, Mtwara na kigoma ambazo ni kanda ya kati, wakati kanda ya mashariki vituo vilivyoongezwa ni pamoja na pwani na Dar es salaam.

"Uboresha wa huduma katika kituo cha uwekezaji unasaidiwa zaidi na mfumo uitwao (one stop facilitation Center) ndani ya ofisi zetu ambapo mfumo huo hutoa huduma za usajili wa makampuni pamoja na kodi" alisema Mwambe.

Hata hivyo kituo hicho kinashirikiana na Serikali katika kutoa ushauri na kuboresha mazingira ya uwekezaji ambapo kulingana na Takwimu za Benki ya Rand Merchant(RMB) zilizotolewa mwaka 2015, Tanzania ilishika nafasi ya Tisa kati ya nchi kumi zenye ushawishi wa kuvutia wawekKakuwekeza.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...