Skip to main content

TIC : Inatarajia kuwekeza mitaji ya kiasi cha dolla za kimarekani zaidi ya millioni 13

Katika juhudi za kukuza uwekezaji hapa nchini, kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) ndani ya miezi minne kimefanikiwa kuandikisha miradi mipya 109 ambayo inatarajia kuwekeza mitaji ya kiasi cha dolla za kimarekani zaidi ya millioni 13 na kuajiri  wafanyakazi 18, 172.

 Image result for kituo cha uwekezaji

  Pichani Mkurugenzi Kituo cha uwekezaji nchini  Geoffrey Mwambe akizungumza na waandishi wa habari


Akizungumza jijini Dar es salaam jana  Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Geoffrey Mwambe amesema kuwa miradi hiyo imewekezwa zaidi kwenye sekta za ujenzi, viwanda,  usafirishaji, kilimo na miundombinu ambapo alimia 34.86 inamilikiwa na wageni, 2.75 ni ya ubia na 62.40 inamilikiwa na Watanzania.

Aidha Mwambe amewataka wakuu wa mikoa pamoja na wakuu wa wilaya na taasisi mbalimbali za kiserikali kukuza mazingira wezeshi ya uwekezaji ikiwemo kutenga maeneo ya kuwekeza.

Amesisitiza  wakuu wa mikoa , kufanya tasmini ya mara kwa mara ya kuhusiana na uwekezaji katika mikoa yao, ambapo amewataka kutowanyanyasa wawekezaji na kuboresha mazingira wezeshi kwa wafanyabiasha.

Amesema kuwa juhudi hizo kizifanyika kwa nguvu na msisitizo mkubwa kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta hiyo, kutawezesha kukuza uwekezaji nchini na kuibua fursa kubwa za ajira kwa vijana.

Alisisitiza kuwa endapo Serikali pamoja na taasisi mbalimbali zitaweka jitihada kubwa katika kuwekeza kwenye sekta ya viwanda kutasaidia kupanua wigo wa walipa kodi, na hatimaye kuongeza uzalishaji na kufikia uchumi wa kati.

Aidha alizitaka taasisi zote nchini pamoja na mamlaka zote husika kukuza ushirikiano na kituo hicho cha uwekezaji kuweza kujenga huelewa na kutoa miongozo ili kuweza kusimamia ujenzi wa viwanda nchini.
Pia Mkurugenzi huyo  alisema kuwa kituo chake kimeongeza ofisi nne mpya za kanda katika mikoa ya Dodoma, Dar es salaam, Mtwara na kigoma ambazo ni kanda ya kati, wakati kanda ya mashariki vituo vilivyoongezwa ni pamoja na pwani na Dar es salaam.

"Uboresha wa huduma katika kituo cha uwekezaji unasaidiwa zaidi na mfumo uitwao (one stop facilitation Center) ndani ya ofisi zetu ambapo mfumo huo hutoa huduma za usajili wa makampuni pamoja na kodi" alisema Mwambe.

Hata hivyo kituo hicho kinashirikiana na Serikali katika kutoa ushauri na kuboresha mazingira ya uwekezaji ambapo kulingana na Takwimu za Benki ya Rand Merchant(RMB) zilizotolewa mwaka 2015, Tanzania ilishika nafasi ya Tisa kati ya nchi kumi zenye ushawishi wa kuvutia wawekKakuwekeza.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.