Skip to main content

YANGA MWANZA WAJITOLEA KUSAJILI WACHEZAJI 10



WANACHAMA wa matawi ya Yanga mkoani Mwanza wamekutana katika mkutano wao wa mwisho wa mwaka wenye lengo la kujadili mustakabali na mwenendo klabu yao katika msimu huu.
Katika mkutano huo uliohudhuriwa na Kaimu Mwenyekiti wa Yanga,  Clement Sanga wanachama hao kupitia kwa Mwenyekiti wa Matawi hayo, Salehe Akida wamedhamiria kufanya harambee katika matawi yote ya Mkoa wa mwanza ili kuhakikisha wanapata fedha za kuwawezesha kusajili wachezaji 10 katika msimu ujao kama nia na lengo la kuweza kua karibu na timu yao.
"Hakika tumedhamiria kufanya makubwa katika msimu ujao kwa kuweza kuyafanya matawi yetu ya wanachama wa Mwanza kuwa yakuigwa na kuwa mfano katika matawi yote Tanzania".

katika hatua nyingine wanachama hao wanechangishana fedha tasilimu shilingi laki tisa na elfu thelathini kwa lengo la kuwapa motisha wachezaji kuweza kujituma katika mchezo wao wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Mbao FC utaokaochezwa siku ya jumapili kwenye uwanja wa ccm kirumba mwanza majira ya saa kumi kamili jioni
Akizungumza katika mkutano huo makamu mwenyekiti wa klabu hiyo Clement Sanga Amewashukuru wanachama hao kwa umoja wao wanaouonesha katika kuinga mkono timu yao kwa kusafiri kwenda kuipa hamasa na kuwataka watulie ili waweze kuutetea ubingwa wao msimu huu
""Yanga ni taasisi kubwa na inawanachama Tanzania Nzima wote nia yetu ni kuhakikisha yanga inasonga mbele na asitokee mtu yeyote kutuvuruga na akitokea mtu huyo basi tumchukulie hatua mara moja ili kuiboresha yanga yetu"""


huu ni mkutano wao wa nne baada ya mikutano mitatu iliyofanyika mwaka huu katika Mkoa wa Mwanza ambao ni desturi yao kwajili ya kuharishana kinachoendelea katika kila matawi. Source :
http://www.binzubeiry.co.tz/

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.