Skip to main content

asilimia 30 ya wagonjwa wa kansa ya ini wamepata tatizo hilo kutokana na ulaji wa vya kula

 



Mkurugenzi wa Usalama wa Chakula TFDA Raymond Wigenge akizungumza na wanahabari



Imekatajwa  kuwa asilimia 30 ya wagonjwa wa kansa ya ini wamepata tatizo hilo kutokana na ulaji wa vya kula vyenye sumu kuvu ikiwemo chakula kinachotoka na zao la mahindi

Hayo yamebainishwa leo Jijini Dar es salaam katika kongamano  la udhibiti wa sumu kuvu aina ya aflatoksini katika bara la Afrika PACA kwa lengo la kuzuia ongezeko la sumu kuvu katika vyakula

Akizungumza katika kongamano hilo Mkurugenzi wa Usalama wa Chakula TFDA Raymond Wigengeamsema hivi karibuni kumekuwa na mlikupo wa ugonjwa unaotokana na ulaji wa mahindi yenye sumu kuvu katika nchi za Kenya na Tanzania ambapo zaidi ya asilimia 20 ya watu walioathirika walifariki

Hata hivyo Wigengeamebainisha malengo mbalimbali ya kongamano hilo ikiwemo kuongeza uelewa wa tatizo la sumu kuvu katika sekta ya afya, kilimo na biashara

Kwa upande wake Mshauri wa masuala ya sumu kuvu umoja wa Afrika PACA  PROF Martin Kimanyaamsema ziko mbinu mbalimbali ambazo zitumika katika kuhakikisha kuwa tatizo la sumu kuvu linakabiliwa ikiwemo suala la uelewa na elimu juu ya tatizo hilo kwa wananchi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...