Skip to main content

George Weah, mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa urais

Makamu wa rais Joseph Boakai akubali kushindwa Liberia

J
media
Makamu wa rais waLiberia Joseph Nyuma Boakai ampongeza George Weah kwa ushindi wake Desemba 29, 2017 katika hotuba alioitoa Monrovia, mji mkuu wa Liberia
Siku moja baada ya tume ya uchaguzi nchini Liberia NEC kumtangaza nyota wa zamani wa Soka, George Weah, mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa urais nchini humo, makamu wa rais Joseph Nyuma Boakai amekubali kushindwa na kumpongeza mpizani wake.
George Weah alishinda kwa 61.5% ya kura , huku mpinzani wake, Makamu wa rais Joseph Boakai akipata 38.5% , Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitangaza.
Weah atachukua nafasi ya Ellen Johnson Sirleaf ambaye alikuwa rais wa kwanza mwanamke barani Afrika kuchaguliwa kidemokrasia na sasa anatarajiwa kukabidhi madaraka kwa amani.
Rais Sirleaf alimshinda Weah katika uchaguzi wa duru ya pili uliofanyika mwaka 2005, baada ya kumalizika kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miongo kadhaa nchini humo.
Punde baada ya taarifa za ushindi wa Weah kuanza kuenea, maelfu ya wafuasi wake wamejitokeza kwenye viunga vya miji mbalimbali nchini humo kushangilia ushindi wake, mamia ya watu wameonekana mjini Monrovia wakishangilia.
Mwanasoka huyu wa zamani aliyefanya kampeni zake chini ya muungano wa mabadiliko ya kidemokrasia, aliwashawishi vijana kumpigia kura huku mpinzani wake makamu wa rais Boakai akionekana kama mzee.
Hata hivyo ushindi wa Weah umekuja huku akikabiliwa na ukosolewaji kutokana na kumteua mgombea mwenza wake Jewel Taylor aliyekuwa mke wa rais wa zamani wa nchi hiyo Charles Taylor anayetumikia kifungo nchini Uingereza kwa makosa ya kivita.
Weah mwenye umri wa miaka 51 alishinda duru ya kwanza ya uchaguzi huu uliofanyika mwezi Octoba kwa asilimia 38.4 ukilinganisha na mpinzani wake aliyepata asilimia 28.8, matokeo ambayo yaliwafanya wagombea wote wawili kwenda kwenye duru ya pili.
Tume ya taifa ya uchaguzi nchini Liberia siku ya Alhamisi ilisema kuwa zaidi ya asilimia 98.1 ya kura zote zimeshahesabiwa na Weah alikuwa anaongoza kwa asilimia 61.5 huku mpinzani wake Boakai akiwa na asilimia 38.5.
Weah amewahi kuvichezea soka vilabu kadhaa barani Ulaya ikiwemo klabu ya AC Milan ya Italia, Chelsea ya Uingereza na PSG ya Ufarana, na amekuwa mchezaji pekee kutoka barani Afrika kushinda taji la mchezaji bora wa dunia inayotolewa na shirikisho la mpira duniani Fifa.
Mwanasoka huyu aliingia kwenye siasa mwaka 2002 baada ya kustaafu soka na kwa sasa alikuwa seneta katika bunge la Liberia.
Nchi ya Liberia iliyojengwa na watumwa weusi wa Kimarekani katika karne ya 19, haijawahi kuwa na mabadilishano ya madaraka ya amani kutoka kwa rais mmoja kwenda mwingine tangu mwaka 1944.
Pingamizi la kisheria lilichelewesha uchaguzi huu wa duru ya pili kwa majuma saba na idadi ya watu waliojitokeza kuoiga kura ilikuwa ndogo ukilinganisha na iole iliyojitokeza kwenye uchaguzi wa mwezi Octoba.
Zaidi ya watu milioni 2 walikuwa wamesajiliwa kupiga kura katika taifa hilo lenye watu milioni 4.6.
Rais Sirleaf alichukua madaraka mwaka 2006 baada ya mtangulizi wake Charles Taylor kulazimishwa kuondoka madarakani na waasi mwaka 2003 na kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Taylor anahudumu kifungo chake cha miaka 50 jela nchini Uingereza kwa makosa ya uhalifu wa kivita kwenye mzozo wa nchi jirani ya Sierra Leone.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...