Skip to main content

takriban watoto 100 wamekamatwa kufuatia uvamizi wa shule moja inayofunza dini ya Kiislamu nchini Kenya

Baadhi ya wahubiri na takriban watoto 100 wamekamatwa kufuatia uvamizi wa shule moja inayofunza dini ya Kiislamu nchini Kenya kulingana na vyombo vya habari nchini humo.
Haijulikani ni kwa nini uvamizi huo katika mji wa likoni pwani mwa Kenya ulifanyika .
Hatahivyo ripoti kadhaa zinasema kuwa vikosi vya usalama vya kimataifa vilihusika huku Marekani na Uingereza zikidaiwa kuhusika.
Vyombo vya habari vinahusisha uvamizi huo na eneo moja la kukuza ugaidi mbali na biashara haramu ya kusafirisha watoto inayohusisha mataifa kadhaa na mabara.
Gazeti la The Star liliripoti kwamba watoto hao ni wa hadi umri wa miaka mitano na wanatoka umbali wa Marekani, Uingereza na Canada pamoja na mataifa mengine ya bara Afrika.
Duru moja ya polisi ambayo imekataa kutajwa iliambia chombo cha habari cha Reuters kwamba shule hiyo ya madrassa ilikuwa kituo cha kuwapatia wanafunzi mafundisho ya kuwa na itikadi za wapiganaji na kimekuwa kikichunguzwa kwa mara kadhaa.
Sheikh Hassan Omar, ambaye ni afisa mkuu katika baraza la maimamu na wahubiri nchini Kenya CIPK , amboa ni mwavuli wa viongozi wa kidini nchini Kenya aliambia waandishi kwamba watoto hao walikuwa wakilala wakati kundi la maafisa wa polisi wa kigeni pamoja na wale wa nchini walipovamia.
Kuna takriban wanafunzi 100 na walimu wanne wa madrassa ambao wamekamatwa na kuzuiliwa katika makao makuu ya polisi na hakuna mtu anayesema ni uhalifu gani waliotenda.
Afisa mwandamizi wa polisi aliambia Reuters kwamba watoto hao wataachiliwa huru mmoja baada ya mmoja baada ya kuhojiwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...