Skip to main content

takriban watoto 100 wamekamatwa kufuatia uvamizi wa shule moja inayofunza dini ya Kiislamu nchini Kenya

Baadhi ya wahubiri na takriban watoto 100 wamekamatwa kufuatia uvamizi wa shule moja inayofunza dini ya Kiislamu nchini Kenya kulingana na vyombo vya habari nchini humo.
Haijulikani ni kwa nini uvamizi huo katika mji wa likoni pwani mwa Kenya ulifanyika .
Hatahivyo ripoti kadhaa zinasema kuwa vikosi vya usalama vya kimataifa vilihusika huku Marekani na Uingereza zikidaiwa kuhusika.
Vyombo vya habari vinahusisha uvamizi huo na eneo moja la kukuza ugaidi mbali na biashara haramu ya kusafirisha watoto inayohusisha mataifa kadhaa na mabara.
Gazeti la The Star liliripoti kwamba watoto hao ni wa hadi umri wa miaka mitano na wanatoka umbali wa Marekani, Uingereza na Canada pamoja na mataifa mengine ya bara Afrika.
Duru moja ya polisi ambayo imekataa kutajwa iliambia chombo cha habari cha Reuters kwamba shule hiyo ya madrassa ilikuwa kituo cha kuwapatia wanafunzi mafundisho ya kuwa na itikadi za wapiganaji na kimekuwa kikichunguzwa kwa mara kadhaa.
Sheikh Hassan Omar, ambaye ni afisa mkuu katika baraza la maimamu na wahubiri nchini Kenya CIPK , amboa ni mwavuli wa viongozi wa kidini nchini Kenya aliambia waandishi kwamba watoto hao walikuwa wakilala wakati kundi la maafisa wa polisi wa kigeni pamoja na wale wa nchini walipovamia.
Kuna takriban wanafunzi 100 na walimu wanne wa madrassa ambao wamekamatwa na kuzuiliwa katika makao makuu ya polisi na hakuna mtu anayesema ni uhalifu gani waliotenda.
Afisa mwandamizi wa polisi aliambia Reuters kwamba watoto hao wataachiliwa huru mmoja baada ya mmoja baada ya kuhojiwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.