Skip to main content

Idd Pialali atwanga Shiva kutoka India



Bondia Mtanzania, Idd Pialali amsema amefurahia  wake kufuatia  kushinda mkanda wa ubingwa wa kimataifa wa ujulikanao kwa jina la ( UBO) baada ya kumchapa mpinzani wake Shiva ambaye ni raia wa India  pointi kwenye Ukumbi wa Travel Lodge ambao pia wanatajwa kuwa wadhamini katika pambano hilo lililofanyika wilayani Bagamoyo mwisho wa wiki iliyopita.
Pialali amliambia gazeti hili jana kuwa  pambano hilo lilikuwa kubwa  na kuwa ni mara ya kwanza kufanyika  Bagamoyo ingawa awali alisha pamana  wilayani humo,  lilianza kwa mabondia kucheza kwa tahadhari kutokana na kusomana.
Alisemma licha ya kibuka na ushindi huo  amedodosa kuwa  ameshinda pambano hilo ila lilikwenda nje na mipango yake kwani alikuwa akiitaji ushndi wa mapema zaidi hila mpinzani wake kutoka India alikuwa makini hali iliyomfanya kusogeza zaidi raundi katika mpambano.
"Nilikuwa nimeisha jiandaa miezi michache baada ya kuibuka na ubingwa wa Global Tv, Afrika Mashariki nakati siku chache tu hivyo ilikuwa ni mpango wangu kutaka kumpiga dakika za mapema ila mazoezi ya katika maandali ya npinzani nafikiri yaliweza kumsaidia Shiva,"alisema Pialali.
Pialali alisema kuwa kupitia pambano hilo  alisema ushindi huyo ameupata kupitia wadhamini kama Kinite Castle ambao ni wamiliki wa ukumbi mpya iliozinduliwa Desemba 17  Jumapili iliyopita katika mji huo mkongwe wa Bagamoyo.
Kwa mujibu wa Promotor wa ngumi aliyeandaa mpambano huo Sharifu Muksini alisema kuwa pambano hilo lilichangia kuonekana kwa mabondia wengine  chipukizi ambapo waliona kukuza vipaji kutazaidia kujenga mvuto kwa kuwapa ushawishi mabondia wa wilayani humo kupata mwamuko katika mchezo wa ngumi.
Mwandaaji huyo wa masumbwi amesema siku zijazo anamtazamo wa kumkutanisha tena Pialali katika pambano litakalo kuwa la ubingwa mkubwa zaidi .
ushindi wa majaji wote watatu dhidi ya mpinzani wake ambapo jaji wa kwanza Laszlo Fejes alitoa pointi kwa  98-90,  Agapeter Mnazareth 98-91 na  Robert Kasiga 97-93.

Mwishoo

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.