Skip to main content

Idd Pialali atwanga Shiva kutoka India



Bondia Mtanzania, Idd Pialali amsema amefurahia  wake kufuatia  kushinda mkanda wa ubingwa wa kimataifa wa ujulikanao kwa jina la ( UBO) baada ya kumchapa mpinzani wake Shiva ambaye ni raia wa India  pointi kwenye Ukumbi wa Travel Lodge ambao pia wanatajwa kuwa wadhamini katika pambano hilo lililofanyika wilayani Bagamoyo mwisho wa wiki iliyopita.
Pialali amliambia gazeti hili jana kuwa  pambano hilo lilikuwa kubwa  na kuwa ni mara ya kwanza kufanyika  Bagamoyo ingawa awali alisha pamana  wilayani humo,  lilianza kwa mabondia kucheza kwa tahadhari kutokana na kusomana.
Alisemma licha ya kibuka na ushindi huo  amedodosa kuwa  ameshinda pambano hilo ila lilikwenda nje na mipango yake kwani alikuwa akiitaji ushndi wa mapema zaidi hila mpinzani wake kutoka India alikuwa makini hali iliyomfanya kusogeza zaidi raundi katika mpambano.
"Nilikuwa nimeisha jiandaa miezi michache baada ya kuibuka na ubingwa wa Global Tv, Afrika Mashariki nakati siku chache tu hivyo ilikuwa ni mpango wangu kutaka kumpiga dakika za mapema ila mazoezi ya katika maandali ya npinzani nafikiri yaliweza kumsaidia Shiva,"alisema Pialali.
Pialali alisema kuwa kupitia pambano hilo  alisema ushindi huyo ameupata kupitia wadhamini kama Kinite Castle ambao ni wamiliki wa ukumbi mpya iliozinduliwa Desemba 17  Jumapili iliyopita katika mji huo mkongwe wa Bagamoyo.
Kwa mujibu wa Promotor wa ngumi aliyeandaa mpambano huo Sharifu Muksini alisema kuwa pambano hilo lilichangia kuonekana kwa mabondia wengine  chipukizi ambapo waliona kukuza vipaji kutazaidia kujenga mvuto kwa kuwapa ushawishi mabondia wa wilayani humo kupata mwamuko katika mchezo wa ngumi.
Mwandaaji huyo wa masumbwi amesema siku zijazo anamtazamo wa kumkutanisha tena Pialali katika pambano litakalo kuwa la ubingwa mkubwa zaidi .
ushindi wa majaji wote watatu dhidi ya mpinzani wake ambapo jaji wa kwanza Laszlo Fejes alitoa pointi kwa  98-90,  Agapeter Mnazareth 98-91 na  Robert Kasiga 97-93.

Mwishoo

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...