Skip to main content

Rick Ross atambulisha biashara yake mpya ndio aswa kinachofuata baada ya colabo na Diamond

 

Baada ya kukamilisha colabo na mtanzania Diamond Platnumz, Rapa Rick Ross ametambulisha hii biashara yake mpya ya dawa za nywele na ndevu.
Boss huyu wa leo ya MMG amefungua biashara ya kuuza dawa za Nywele na Ndevu za RICH Hair Care Brand,
Dawa hizi zitaanza kuuzwa  January mwaka 2018.

Comments