Skip to main content

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Issack Kamwelwe amesitisha manunuzi yote ya vifaa vya maji yanayofanywa na Bohari Kuu ya Maji

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Issack Kamwelwe, amesitisha manunuzi yote ya vifaa vya maji yanayofanywa na Bohari Kuu ya Maji jijini Dar es Salaam hadi hapo Serikali itakavyoelekeza vinginevyo.



 Mhe. Kamwelwe, (kushoto), akionyeshwa moja ya vifaa vya maji vinavyotunzwa kwenye bohari kuu ya maji na Meneja wa Bohari Kuu ya Maji Bw. Clepline Bulamo
 ya maji au zinazoendesha utoaji wa huduma ya maji waende bohari kuu kuangalia vifaa vinavyoweza kutumika kwao ili wavinunue viishe kabla ya kuelekea kwenye hatua nyingine.
Kumekuwepo na ununuzi holela wa vifaa Halmashauri na Mamlaka za maji zimekuwa zikijinunulia vifaa jinsi wanavyotaka nah ii ni hatari sana ndio maana miradi mingi haiendani na thamani halisi ya vifaa, na vinapatikana kwa gharama kubwa mnno, Aalisema Mhandisi Kamwelwe.
“Mamlaka zote za maji zilizo chini ya wizara yangu, mtu asije akaenda kununua vifaa nje ya bohari kuu kama kifaa hicho kinapatikana kwenye bohari hiyo.” Alisema Mhandisi Kamwelwe.
Na kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kufanya mabadiliko makubwa ya kiutendaji kwenye bohari hiyo kwani kwa hali ilivyo imeshindwa kabisa kutekeleza majukumu yake.
Mheshimiwa Waziri alitoa maagizo hayo wakati alipotembelea bohari hiyo iliyoko Boko jijini Dar es Salaam, mwanzoni mwa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji inayotekelezwa na Serikali kupitia DAWASA Desemba 5, 2017.
Alilaumu utendaji duni wa watendaji wa Bohari hiyo unaoonyesha kuishiwa ubunifu. Na hivyo kufanya shughuli kulegalega.
“Serikali imenunua vifaa vyenye thamani ya shilingi bilioni 4.83 vingine vinaonekana vimepitwa na wakati, lakini vingine vinaonekana vinaweza kutumika, na boharia inahitaji watu ambaom ni wabunifu, na kwa vile vilivyopitwa na wakati viko viwanda vinatengeneza vifaa kama hivyo uongozi ni bora ukawasiliana na viwanda hivyo ili waone tatizo ni nini na inawezekana kuboresha eneo ambalo linavifanya visitumike ili vikaweza kutumika na kuokoa fedha za serikali.
“Nakuagiza ufanye kazi hiyo kwa haraka na umpatie taarifa Katibu Mkuu, sitaki kuona kitu hata kimoja kinapotea kwani vifaa hivi vimenunuliwa na kode za wananchi na fedha za serikali.” Aliagiza Waziri Kamwelwe.
Katika hatua nyingine, Waziri amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, kufanya mabadiliko makubwa ya kiutendaji kwenye bohari hiyo ili pawepo na wataalamu husika kuloingana na shughuli za bohari.
Aidha Waziri ametoa muda wa mwezi mmoja kwa wadeni wote wa Bohari Kuu ya Maji, kulipa madeni yao vinbginevyo atachukua hatua baada ya muda huo kupita.

 Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Issack Kamwelwe, akiangalia dira za kupimia maji, alipotembelea bohari kuu ya maji Boko jijini Dar es Salaam, Desemba 5, 2017.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...