Skip to main content

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Issack Kamwelwe amesitisha manunuzi yote ya vifaa vya maji yanayofanywa na Bohari Kuu ya Maji

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Issack Kamwelwe, amesitisha manunuzi yote ya vifaa vya maji yanayofanywa na Bohari Kuu ya Maji jijini Dar es Salaam hadi hapo Serikali itakavyoelekeza vinginevyo.



 Mhe. Kamwelwe, (kushoto), akionyeshwa moja ya vifaa vya maji vinavyotunzwa kwenye bohari kuu ya maji na Meneja wa Bohari Kuu ya Maji Bw. Clepline Bulamo
 ya maji au zinazoendesha utoaji wa huduma ya maji waende bohari kuu kuangalia vifaa vinavyoweza kutumika kwao ili wavinunue viishe kabla ya kuelekea kwenye hatua nyingine.
Kumekuwepo na ununuzi holela wa vifaa Halmashauri na Mamlaka za maji zimekuwa zikijinunulia vifaa jinsi wanavyotaka nah ii ni hatari sana ndio maana miradi mingi haiendani na thamani halisi ya vifaa, na vinapatikana kwa gharama kubwa mnno, Aalisema Mhandisi Kamwelwe.
“Mamlaka zote za maji zilizo chini ya wizara yangu, mtu asije akaenda kununua vifaa nje ya bohari kuu kama kifaa hicho kinapatikana kwenye bohari hiyo.” Alisema Mhandisi Kamwelwe.
Na kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kufanya mabadiliko makubwa ya kiutendaji kwenye bohari hiyo kwani kwa hali ilivyo imeshindwa kabisa kutekeleza majukumu yake.
Mheshimiwa Waziri alitoa maagizo hayo wakati alipotembelea bohari hiyo iliyoko Boko jijini Dar es Salaam, mwanzoni mwa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji inayotekelezwa na Serikali kupitia DAWASA Desemba 5, 2017.
Alilaumu utendaji duni wa watendaji wa Bohari hiyo unaoonyesha kuishiwa ubunifu. Na hivyo kufanya shughuli kulegalega.
“Serikali imenunua vifaa vyenye thamani ya shilingi bilioni 4.83 vingine vinaonekana vimepitwa na wakati, lakini vingine vinaonekana vinaweza kutumika, na boharia inahitaji watu ambaom ni wabunifu, na kwa vile vilivyopitwa na wakati viko viwanda vinatengeneza vifaa kama hivyo uongozi ni bora ukawasiliana na viwanda hivyo ili waone tatizo ni nini na inawezekana kuboresha eneo ambalo linavifanya visitumike ili vikaweza kutumika na kuokoa fedha za serikali.
“Nakuagiza ufanye kazi hiyo kwa haraka na umpatie taarifa Katibu Mkuu, sitaki kuona kitu hata kimoja kinapotea kwani vifaa hivi vimenunuliwa na kode za wananchi na fedha za serikali.” Aliagiza Waziri Kamwelwe.
Katika hatua nyingine, Waziri amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, kufanya mabadiliko makubwa ya kiutendaji kwenye bohari hiyo ili pawepo na wataalamu husika kuloingana na shughuli za bohari.
Aidha Waziri ametoa muda wa mwezi mmoja kwa wadeni wote wa Bohari Kuu ya Maji, kulipa madeni yao vinbginevyo atachukua hatua baada ya muda huo kupita.

 Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Issack Kamwelwe, akiangalia dira za kupimia maji, alipotembelea bohari kuu ya maji Boko jijini Dar es Salaam, Desemba 5, 2017.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.