Skip to main content

Wabunge CUF, Chadema Dar es Salaam kujiunga CCM

Na mwandishi wetu
CHAMA cha Mapinduzi(CCM) kimedai kuwa baadhi ya wabunge wa Chadema na CUF wa majimbo ya Dar es Salaam wanataka kujiunga na chama hicho.

Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Humphrey Polepole

CCM inatoa kauli hiyo wakati kukiwa na minon’gono kuwa viongozi waandamizi wa upinzani wanaojiunga CCM wananuliwa huku chama hicho kikikanusha na kutoa  sababu kuu mbili ya kupata wanachama hao.

Wiki iliyopita chanzo kimoja kimeeleza  jijini Dar es Salaam , katika ofisi  ndogo za makao makuu ya CCM, katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema baadhi ya wabunge hao wameonesha nia ya kujiunga na chama hicho.
Bila kutaja idadi wala majina ya wabunge hao Polepole amesema “Wewe utaona ‘soon’ muda si mrefu kuna wabunge kutoka majimbo ya Dar es Salaam wa UKAWA wameonesha nia ya kutaka kujiunga  CCM.’’


Kuhusu sababu za wapinzani kujiunga CCM Polepole amesema ni uongozi na utendaji mbovu wa viongozi wa kitaifa wa vyama vya upinzani ambao hauzingatii kanuni na taratibu zao
“Ukweli hawa viongozi waandamizi wa upinzani wanaojiunga CCM hatuwarubuni wala kuwapa fedha. Watu hawaelewi wala kufuatilia kwa undani, wengi wa waliojiunga CCM ukizungumza nao wanakueleza kuwa wamechoka na jinsi wanavyoongozwa na viongozi wao wa kitaifa,’’ amesema na kuongeza
“Wanasema wanaweza kufanya maamuzi fulani ndani ya chama na kwa kufuata utaratibu halali ikiwemo kuchaguana  lakini mwenyekiti taifa  anakuja na kutengua maamuzi hayo ‘so’ hivyo unatarajia nini kitatokea hapo. Lazima sintofahamu itajitokeza.’’
Polepole ametaja sababu nyingine ni kukubali  utendaji wa rais Magufuli hasa anavyoshughulikia masuala ya ufisadi na rushwa.
“Hili la kupambana na ufisadi na rushwa wao wenyewe wanalizungumza hivyo ni mojawapo ya mambo yanayowavutia kujiunga CCM,’’ amesema
Hata hivyo kufuatia utete wa hali hiyo hii leo  ofisi ya mbunge wa Temeke imekanusha vikali uvumi wa mbunge wa jimbo hilo, Abdallah Mtolea(CUF) kujiuzulu ubunge.
Katibu wa mbunge huyo, Rajab Matata amesema “Ukweli ni kwamba aliejiuzulu ubunge ni Mh. Maulid Said Abdallah Mtulia aliekuwa Mbunge Wa jimbo la Kinondoni. Na sio Abdallah Ali Mtolea Mbunge wa jimbo la Temeke. Mtolea hajajiuzulu na hana mpango Wa kujiuzuru, anawaudumia wakazi wake  wa Temeke.”

Amesema wanaomuhusisha na upotoshaji huo ni watu wasio na nia njema na wenye lengo la kuwasumbua wananchi wa Temeke na watanzania.
Jana aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kinondoni(CUF) Maulid Mtulia alijiuzulu wadhifa wake huo na kujivua uanachama wa CUF pamoja na nyadhifa zake zote ndani ya chama hicho na Bungeni.

Mtulia anakuwa ni mbunge wa pili katika kipindi cha takribani mwezi  mmoja kujiuzulu nyadhifa hiyo baada ya aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii katika  serikali ya awamu ya nne, Lazaro Nyalandu kung’atuka CCM na kujiuzulu ubunge wa Singinda Kaskazini.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...