Skip to main content

DRC: Mkutano kati ya rais Kabila na magavana wamalizika Goma

media
Rais wa DRC Joseph Kabila
Rais JOSEPH KABILA pamoja na viongozi wa ngazi za juu nchini DRC, waliokutana jijini GOMA tangu jumatatu wamehitimisha mkutano wao usiku wa kuamkia leo huku wakiwataka raia wa nchi hiyo kutojihusisha wala kujiunga na makundi ya waasi yanayotatiza usalama kwenye eneo la mashariki mwa nchi hiyo.
"Tumewaalika raia wa Congo kuilinda nchi yao piya twa shukuru wana jeshi ambao hivi sasa wajitahidi katika ulinzi wa raïa wilayani KASAI."
Huko magaavana walio shiriki mkutano huo walijulisha umuhimu wa mazungumzo yao dhidi ya raïa wa Congo DRC, kama alivyo julisha LOLA KISANGA liwali wa Jimbo la UELE.
"Twatazama yote tukiona jinsi gani usalama wa kweli waweza rejea na kusaidia kwa ujenzi bora wa nchi yetu"
Raia wamepokeaje yaliyo zungumziwa jijini Goma na viongozi serikali ya Congo DRC !
"Ikiwa hakuna upendo haya yote ni kupoteza mda.cha maana magavana hao watimize waliyo zungumza."
Licha ya kutozungumza na wanahabari kwenye mkutano huo, duru za ndani zinaeleza kuwa rais Joseph Kabila aliwakosoa viongozi ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya rushwa na ubadhirifu wakati huu wakijua anaelekea kumaliza muda wake.
Viongozi hao wa serikali ya Congo DRC wamethibitisha kuendesha mkutano kama na huo jijini MBANDAKA mwezi machi mwaka ujao kwa lengo la kuboresha zaidi uchumi na maendeleo ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.