Skip to main content

DRC: Mkutano kati ya rais Kabila na magavana wamalizika Goma

media
Rais wa DRC Joseph Kabila
Rais JOSEPH KABILA pamoja na viongozi wa ngazi za juu nchini DRC, waliokutana jijini GOMA tangu jumatatu wamehitimisha mkutano wao usiku wa kuamkia leo huku wakiwataka raia wa nchi hiyo kutojihusisha wala kujiunga na makundi ya waasi yanayotatiza usalama kwenye eneo la mashariki mwa nchi hiyo.
"Tumewaalika raia wa Congo kuilinda nchi yao piya twa shukuru wana jeshi ambao hivi sasa wajitahidi katika ulinzi wa raïa wilayani KASAI."
Huko magaavana walio shiriki mkutano huo walijulisha umuhimu wa mazungumzo yao dhidi ya raïa wa Congo DRC, kama alivyo julisha LOLA KISANGA liwali wa Jimbo la UELE.
"Twatazama yote tukiona jinsi gani usalama wa kweli waweza rejea na kusaidia kwa ujenzi bora wa nchi yetu"
Raia wamepokeaje yaliyo zungumziwa jijini Goma na viongozi serikali ya Congo DRC !
"Ikiwa hakuna upendo haya yote ni kupoteza mda.cha maana magavana hao watimize waliyo zungumza."
Licha ya kutozungumza na wanahabari kwenye mkutano huo, duru za ndani zinaeleza kuwa rais Joseph Kabila aliwakosoa viongozi ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya rushwa na ubadhirifu wakati huu wakijua anaelekea kumaliza muda wake.
Viongozi hao wa serikali ya Congo DRC wamethibitisha kuendesha mkutano kama na huo jijini MBANDAKA mwezi machi mwaka ujao kwa lengo la kuboresha zaidi uchumi na maendeleo ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...