Skip to main content

Ridhwaa-Kinondoni yaomba wadau kuchangia ujenzi wa Chuo






Pichani kutoka kushotoni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi hiyo
Alhaj Suleiman Seif Nassor na kulia ni  Katibu wa bodi hiyo Abduil Rashld
Shenkh walipokuwa wakizungumza Dar es Salaam  juu ya  kujenga chuo Kikuu
 kitakacho gharimu Shilingi bilion mbili za kitanzania nchini.



TAASISI ya Ridhwaa-Kinondoni ya Jijini Dar es Salaam Tanzania imewaomba
wadau mbali mbali waelimu na watanzania wenye uzalendo kujitokeza
kuchangia  mpango wa kujenga chuo Kikuu kitakacho gharimu Shilingi bilion 
mbili za kitanzania ikiwa ni moja ya mikakati yao katika taasisisi hiyo kueneza
elimu nchini.


Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili hivi karibuni Mwenyekiti wa Bodi 
ya Taasisi hiyo alhaji Suleiman Seif alisema  watanzania wenye moyo wa uzalendo 
amewaomba kujitokeza katika ujenzi wa chuo 


Taasisi hiyo iliyosajiriwa miaka 25 iliopita kwa jina la The Registered Trustees 
of Masjid Ridhwaa(RTMR) yaani Bodi ya Wadhamini ya Ridhwaa Seminari ikiwa na lengo 
la kujenga mskiti,kujenga vituo vya afya,vituo vya elimu na kuendesha miradi ya 
kiuchumi kwakuzingatiamisingi ya kiislaam.

Baada ya mafanikio makubwa Taasisi hiyo iliyo yapata kwakupitia shule ya Ridhwaa,
Taasisi hiyoina wiwa kuanzisha Chuo kikuu ambacho kitatutumika kuelemisha umma 
kwamapana zaidi nakuzalisha wataalamu katika nyanja mbali mbali nchini.

Hata hivyo Katibu wa Bodi hiyo Sheikh Abdul Rashid amesema kuwa ili kuunga 
mkono kauli ya Rais wa awamu ya tano Mh John Pombe Magufuli kuelekea uchumi 
wakati na wa viwanda.

"Pamoja nakwamba Taasisi yetu toka kuanzishwa kwake ilikuwa na malengo ya 
kimkakati ya kuanzisha Chuo kikuu cha aina yake lakini tumeona tuendane na
 kasi ya Mh Rais ili kabla hajaondoka madarakani Chuo hicho kitakachotambulika 
kwa jina la Musilim University of Tanzania (Chuo Kikuu Cha Kiislam Tanzania) 
kiwe kimekwisha kamilika.

Hadi sasa Mradi wa ujenzi wa chuo hicho umefanikiwa kukamilisha ghorofa 
moja kati ya ghorofa tano zinazo hitajika Sanjari na hilo tayari zipo 
ekari 23 katika kijiji cha Kisemvule wilayani Mkuranga kwa ajiri ya 
maendeleo ya taasisi hiyo Katibu huyo amewataka wasamalia wema na wenye 
mapenzi na Taasisi hiyo kuwaunga mkono katika michango ili kuweza kufanikisha 
ujenzi wa Chuo hicho ambacho ujenzi wake unakadiriwa kuchukuwa miaka miwili 
hadi kukamilika kwake kulingana na upatikanaji wa fedha.

"Rai yangu kwa wapenda maendeleo,waislaam,Taasisi mbali mbali za fedha na zile zisizo za 
fedha,serikalini na hata kwa watu binafsi wanayo nafasi kubwa yakuchangia maendeleo ya 
 chuo hicho kwani mwisho wa siku kitawafaa watanzania wote."

Mpango mkakati wa Chuo hicho nikutoa wahitimu watakao jiajiri wao wenyewe, nakutoa ajira 
kwa wengine.Huo ndiyo mpango mkakati wa kuanzishwa kwa chuo hicho kulingana na mabadiriko
 ya soko la ajira duniani.

Ulimwenguni kote watu wanatoa elimu itakayo mfanya mtu ajiajiri badala yakusubiri
 ajira toka serikalini au kwa mabepari ni wakati wa watanzania kuandaa mazingira ya
 kujiajiri.

Kutokana na ukweli usiopingika Taasisi ya Ridhwaa imeona hii ni fursa itakayo saidia 
vijana wengi ambao wataondokana na kuzurura na bahasha katika ofisi za umma na binafsi
 kwa kutafuta ajira.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...