Skip to main content

Bondia Idd Pialali ulingoni kesho Bagamoyo dhidi ya mpinzani wake Shiva kutoka India







BONDIA Idd Pialali amehadi kuibuka na ushindi katika pambono lake 
lake litakalo fanyika kesho dhidi ya mpinzani wake kutoka India aitwaye
Shiva litakalokuwa la raundi 10 lenye uzito wa Kg 66.6 lenye kutambuliwa
kimaitaifa(U.B.O).

Kuelekea pambano hilo Mratibu wa pambano hilo Sharifu Mkusini kutoka katika kampuni ya 
Sharifu Promoterameuambia mtandao huu kuwa mabondia hao wamepima uzito leo(Jana) mjini 
Bagamoyo Mkoani Pwani katika ukumbi wa Traveler Lodge mjini humo.


Alisema kutakuwa na mapambano mengine katika kuhusindikiza mpambano wa huo,
ambapo bondia Dulla Mbabe atapanda kuzipiga na George Pimoso
,huku mambondia wengine wakitajwa kuwa ni Bruno Vifua viwili ambaye atazichapa 
na Saidi Uwigo katika,Rehema Nakozi akipanda kuzichapa na Happy Daudi katika 
mapambano ya takayokuwa ya raundi 8.

"Tumeandaa pambano hili kwa kumleta bondia wa India kwakuwa tunataka wapambane
kuleta sifa zaidi nchini kwani mara kwa mara mabondia wetu wamekuwa na  sifa
ya kupigwa na mabondia kutoka India,"alisema Sharifu.


Alisema katika pambono hilo amewaomba wakazi wa Bagamoyo kujitokeza kwa wingi
kwani mpambano huo utakuwa wakipekee sana huku bondia Idd akiwa ameahidi kuwapa 
raha watanzania.

"Nitawapa raha kwa kumchapa katika dakika ya 3 bondia huyo kutoka India kwani
malengo yangu ni kupata ushindi wa mapema sana ilikuwapa furaha watakao fika
katika ukumbi huo,"alisema Idd.


sHARIFU Promotar imetaja kiingilio katika pambano hilo litakalo anza saa 12:00 
usiku siku ya Jumamosi kuwa VIP kiingilio kitakuwa Sh 15,000 huku maeneo
mengine yakitajwa kuwa ni Sh.1000 tu kwa kila mmoja ambapo wadhamini wametajwa 
kuwa ni Traveler Lodge , Kinite Castle pamoja na New Africa Casino.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...