Skip to main content

Bondia Idd Pialali ulingoni kesho Bagamoyo dhidi ya mpinzani wake Shiva kutoka India







BONDIA Idd Pialali amehadi kuibuka na ushindi katika pambono lake 
lake litakalo fanyika kesho dhidi ya mpinzani wake kutoka India aitwaye
Shiva litakalokuwa la raundi 10 lenye uzito wa Kg 66.6 lenye kutambuliwa
kimaitaifa(U.B.O).

Kuelekea pambano hilo Mratibu wa pambano hilo Sharifu Mkusini kutoka katika kampuni ya 
Sharifu Promoterameuambia mtandao huu kuwa mabondia hao wamepima uzito leo(Jana) mjini 
Bagamoyo Mkoani Pwani katika ukumbi wa Traveler Lodge mjini humo.


Alisema kutakuwa na mapambano mengine katika kuhusindikiza mpambano wa huo,
ambapo bondia Dulla Mbabe atapanda kuzipiga na George Pimoso
,huku mambondia wengine wakitajwa kuwa ni Bruno Vifua viwili ambaye atazichapa 
na Saidi Uwigo katika,Rehema Nakozi akipanda kuzichapa na Happy Daudi katika 
mapambano ya takayokuwa ya raundi 8.

"Tumeandaa pambano hili kwa kumleta bondia wa India kwakuwa tunataka wapambane
kuleta sifa zaidi nchini kwani mara kwa mara mabondia wetu wamekuwa na  sifa
ya kupigwa na mabondia kutoka India,"alisema Sharifu.


Alisema katika pambono hilo amewaomba wakazi wa Bagamoyo kujitokeza kwa wingi
kwani mpambano huo utakuwa wakipekee sana huku bondia Idd akiwa ameahidi kuwapa 
raha watanzania.

"Nitawapa raha kwa kumchapa katika dakika ya 3 bondia huyo kutoka India kwani
malengo yangu ni kupata ushindi wa mapema sana ilikuwapa furaha watakao fika
katika ukumbi huo,"alisema Idd.


sHARIFU Promotar imetaja kiingilio katika pambano hilo litakalo anza saa 12:00 
usiku siku ya Jumamosi kuwa VIP kiingilio kitakuwa Sh 15,000 huku maeneo
mengine yakitajwa kuwa ni Sh.1000 tu kwa kila mmoja ambapo wadhamini wametajwa 
kuwa ni Traveler Lodge , Kinite Castle pamoja na New Africa Casino.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.