Skip to main content

Mbunge Upendo Peneza Chadema amewataka wabunge wanaotaka kujiuzulu ubunge katika kipindo hiki



Mbunge Viti Maalumu mkoa wa Geita kupitia Chadema, Upendo Peneza amewataka wabunge wanaotaka kujiuzulu ubunge katika kipindo hiki kuvumilia hadi mwaka 2019 ili kuliepusha Taifa kuingia gharama ya kurudia uchaguzi.
Peneza ametoa wito huo leo alipokuwa anazungumza na wanahabari ambapo amesema kama Mbunge anataka kuunga mkono Jitihada za Rais John Magufuli anaweza akafanya hivyo Bungeni hadi pale muda wake utakapoisha ndipo ang’atuke.
“Ningewaomba watusaidie kwa hii miaka 5 au wavumilie hadi mwaka 2019 sababu katiba hairuhusu kurudia uchaguzi kwa kipindi hicho, ambapo nchi haitaingia gharama za kurudia uchaguzi hadi utakapofanyika uchaguzi mkuu 2020,” amesema.
Peneza amedai kusikitishwa na kujiuzulu kwa baadhi ya wabunge kwa madai kuwa sababu wanazotoa si za kweli.
” Wanaosifu kuna maendeleo watuonyeshe kazi iliyofanyika ni ipi kuliko kuuharibu upande mmoja kwa kusema kazi inafanyika wakati hali bado ni mbaya. Taifa tunaingizwa kwenye presha ya uchaguzi kabla ya 2020, wananchi wanahitaji maendeleo na mabadiliko, wananchi tuchague tunataka nini, ikiwemo kuona kodi zetu zinatumika kuleta maendeleo badala ya kutumika kwenye soko,
“Pesa zinazotumika zingesaidia kuleta maendeleo na kutoa huduma za kijamii kwenye majimbo husika. Wanaotaka kumuunga mkono rais wafanye hivyo bungeni siyo kuwaingizia watanzania gharama,” amesema.
Peneza amewataka wananchi wa majimbo husika kutowachagua wabunge waliojiuzulu endapo watataka kugombea tena, huku akidai kuwa, kama Katiba inaruhusu kungefunguliwa kesi mahakamani kuzuia wabunge hao kujiuzulu endapo uchunguzi utafanyika na kubainika kuwa sababu wanazotoa si za kweli.
“Nimejaribu kupitia katiba ili nione kama kuna kifungu kitwkachoweza kuzuia wabunge hao kutojiuzulu au chaguzi kwenye maeneo hayo kutofanyika, uchunguzi ufanyike ili kujua ukweli wa sababu zao na ikiwezekana wakitaka kugombea wasiruhusiwe, hicho kipengele sijakipata,” amesema

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...