Skip to main content

Mbunge Upendo Peneza Chadema amewataka wabunge wanaotaka kujiuzulu ubunge katika kipindo hiki



Mbunge Viti Maalumu mkoa wa Geita kupitia Chadema, Upendo Peneza amewataka wabunge wanaotaka kujiuzulu ubunge katika kipindo hiki kuvumilia hadi mwaka 2019 ili kuliepusha Taifa kuingia gharama ya kurudia uchaguzi.
Peneza ametoa wito huo leo alipokuwa anazungumza na wanahabari ambapo amesema kama Mbunge anataka kuunga mkono Jitihada za Rais John Magufuli anaweza akafanya hivyo Bungeni hadi pale muda wake utakapoisha ndipo ang’atuke.
“Ningewaomba watusaidie kwa hii miaka 5 au wavumilie hadi mwaka 2019 sababu katiba hairuhusu kurudia uchaguzi kwa kipindi hicho, ambapo nchi haitaingia gharama za kurudia uchaguzi hadi utakapofanyika uchaguzi mkuu 2020,” amesema.
Peneza amedai kusikitishwa na kujiuzulu kwa baadhi ya wabunge kwa madai kuwa sababu wanazotoa si za kweli.
” Wanaosifu kuna maendeleo watuonyeshe kazi iliyofanyika ni ipi kuliko kuuharibu upande mmoja kwa kusema kazi inafanyika wakati hali bado ni mbaya. Taifa tunaingizwa kwenye presha ya uchaguzi kabla ya 2020, wananchi wanahitaji maendeleo na mabadiliko, wananchi tuchague tunataka nini, ikiwemo kuona kodi zetu zinatumika kuleta maendeleo badala ya kutumika kwenye soko,
“Pesa zinazotumika zingesaidia kuleta maendeleo na kutoa huduma za kijamii kwenye majimbo husika. Wanaotaka kumuunga mkono rais wafanye hivyo bungeni siyo kuwaingizia watanzania gharama,” amesema.
Peneza amewataka wananchi wa majimbo husika kutowachagua wabunge waliojiuzulu endapo watataka kugombea tena, huku akidai kuwa, kama Katiba inaruhusu kungefunguliwa kesi mahakamani kuzuia wabunge hao kujiuzulu endapo uchunguzi utafanyika na kubainika kuwa sababu wanazotoa si za kweli.
“Nimejaribu kupitia katiba ili nione kama kuna kifungu kitwkachoweza kuzuia wabunge hao kutojiuzulu au chaguzi kwenye maeneo hayo kutofanyika, uchunguzi ufanyike ili kujua ukweli wa sababu zao na ikiwezekana wakitaka kugombea wasiruhusiwe, hicho kipengele sijakipata,” amesema

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...