Skip to main content

CHUO CHA TAIFA CHA UTALII CHATOA WANAFUNZI 129

 

 Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Japhet Hasunga akizungumza na wahitimu wa chuo cha Utalii
 Viongozi wa chuo Cha Taifa cha Utalii aliyekaa wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chuo cha Taifa cha Utalii ndg Stephen Madenge.
 baadhi ya wanafunzi waliohitimu mafunzo Chuo cha Taifa Cha Utalii 
wanafunzi waliohitimu Chuo Cha Taifa Cha Utalii
 Mkufunzi wa Utalii Robert Leshinga akipambanua jambo mbele ya  wanahabari.
JUMLA ya wanafunzi 129 wa Chuo cha taifa cha Utalii  wamehitimu jana  mafunzo ya taaluma ya Utalii ambapo  wametakiwa kwenda kutumia ujuzi na ueledi wa mafunzo waliyoyapata chuoni hapo.

Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Japhet Hasunga ametoa wito huo leo wakati akizungumza na  wanafuzi wa  chuo hicho katika mahafali ya 15 kwa ngazi ya stashahada na astashahada ambayo yamefanyika jijini Dar es salaam .

Hasunga amesema ni vyema wanafunzi hao wakahakikisha wanakwenda kutumia kwa vitendo mafunzo na ujuzi ambao wameupata ikiwa kwa kujiajiri ama kwa kuajiriwa.

Kwa upande wa Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Taifa Cha Utalii DK.Shogo Mlozi Sedoyeka amesema licha ya kuwepo na changamoto mbalimbali wamejipanga kuweza kuzitatua ili kuendelea kuboresha elimu bora kwa wanafunzi.

Mmoja wa wahitimu hao Deogratius Tarimo amesema watanzania wengi wamejijengea kuwa  dhana ya  utalii inawahusi  wageni kutoka nje ya nchi na kuwa mchakato wa kufanya utalii wa ndani  wazawa wanapaswa kutembelea mbuga za wanya  kwa kufanya hivyo watapata  kuzitazama fursa zilizopo nchini.

 Katika Mahafali hayo yalio hudhuria na wahitimu kutoka(campas) za Chuo cha Utalii kilichopo Temeke na Arusha ambapo vijana waliohitimu wamekuwa wakipata utashi zaidi ilikuweza kupata nafasi ya kuajiria katika maeneo mbalimbali.

Chuo hicho Cha Taifa cha Utalii kwa sasa imeelezwa kimeingia makubaliano na Chuo kikuu cha Vancuva ili kujifunza mbinu mbalimbali za kutoa mafunzo bora kwa wanafunzi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.