Skip to main content

CHUO CHA TAIFA CHA UTALII CHATOA WANAFUNZI 129

 

 Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Japhet Hasunga akizungumza na wahitimu wa chuo cha Utalii
 Viongozi wa chuo Cha Taifa cha Utalii aliyekaa wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chuo cha Taifa cha Utalii ndg Stephen Madenge.
 baadhi ya wanafunzi waliohitimu mafunzo Chuo cha Taifa Cha Utalii 
wanafunzi waliohitimu Chuo Cha Taifa Cha Utalii
 Mkufunzi wa Utalii Robert Leshinga akipambanua jambo mbele ya  wanahabari.
JUMLA ya wanafunzi 129 wa Chuo cha taifa cha Utalii  wamehitimu jana  mafunzo ya taaluma ya Utalii ambapo  wametakiwa kwenda kutumia ujuzi na ueledi wa mafunzo waliyoyapata chuoni hapo.

Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Japhet Hasunga ametoa wito huo leo wakati akizungumza na  wanafuzi wa  chuo hicho katika mahafali ya 15 kwa ngazi ya stashahada na astashahada ambayo yamefanyika jijini Dar es salaam .

Hasunga amesema ni vyema wanafunzi hao wakahakikisha wanakwenda kutumia kwa vitendo mafunzo na ujuzi ambao wameupata ikiwa kwa kujiajiri ama kwa kuajiriwa.

Kwa upande wa Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Taifa Cha Utalii DK.Shogo Mlozi Sedoyeka amesema licha ya kuwepo na changamoto mbalimbali wamejipanga kuweza kuzitatua ili kuendelea kuboresha elimu bora kwa wanafunzi.

Mmoja wa wahitimu hao Deogratius Tarimo amesema watanzania wengi wamejijengea kuwa  dhana ya  utalii inawahusi  wageni kutoka nje ya nchi na kuwa mchakato wa kufanya utalii wa ndani  wazawa wanapaswa kutembelea mbuga za wanya  kwa kufanya hivyo watapata  kuzitazama fursa zilizopo nchini.

 Katika Mahafali hayo yalio hudhuria na wahitimu kutoka(campas) za Chuo cha Utalii kilichopo Temeke na Arusha ambapo vijana waliohitimu wamekuwa wakipata utashi zaidi ilikuweza kupata nafasi ya kuajiria katika maeneo mbalimbali.

Chuo hicho Cha Taifa cha Utalii kwa sasa imeelezwa kimeingia makubaliano na Chuo kikuu cha Vancuva ili kujifunza mbinu mbalimbali za kutoa mafunzo bora kwa wanafunzi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...