Skip to main content

Sadick Japhari kizimbani kwa tuhuma za kufanya mapenzi na binti yake

Sadick Japhari, mkazi wa Tabora amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kufanya mapenzi na binti yake mwenye umri wa miaka 16 hatimae kumsababishia ujauzito na kukatisha masomo yake akiwa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Lwanzari Tabora mjini.


Mtuhumiwa huyo alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Tabora na kupandishwa kizimbani kwa mara nyingine tena shauri lake namba 49 la mwaka 2017 likiwa upande wa kutolea ushahidi kwa upande wa Jamhuri ambapo ilikuwa ni zamu ya kutoa ushahidi kwa Afisa mtendaji wa mtaa wa shule Kata ya Kaloleni, Christina Kitundu kuwasilisha ushahidi wake ambapo alieleza Mahakama kwamba mtuhumiwa Sadick ambaye alikuwa akiishi na binti yake katika nyumba yenye chumba kimoja na sebule alikuwa akifanya tendo la ndoa wakati binti yake akiwa amelala.
Christina ameiambia mahakama mbele ya mahakama Mkazi Mfawidhi wilaya ya Tabora mjini Jaktoni Lushwela kwamba mtuhumiwa baada ya kubaini tayari amekwisha msababishia binti yake ujauzito aliamua kumasfirisha ikiwa ni mpango wa kuficha ukweli.
Hata hivyo kwa kuwa Afisa Mtendaji wa mtaa ambaye alikuwa na jukumu la kufuatilia watoto wanaoacha masomo kwasababu mbalimbali akuchukua hatua ya kumrejesha Tabora binti huyo na hapo ndipo alipojiridhisha kuwa ni mjamzito na siku chache baadae akajifungua mtoto wa kiume.
Aidha mtoto huyo aliieleza Mahakama kuwa baba yake huyo amekuwa akimbaka mara kadhaa majira ya usiku tangu mwezi Januari 2017 wakati akiwa nyumbani huku akimtia kumdhuru endapo jambo hilo atalisema mbele za watu.
Mtuhumiwa huyo aliukana ushahidi uliotolewa mahakamani hapo, kesi hiyo inatarajiwa kuendelea kusikiliza ushahidi wa daktari Disemba 19 mwaka huu, huku mtuhumiwa akiendelea kusota rumande.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...