Skip to main content

Kampuni ya (SBC),wanayo furaha tele kukuletea Shindano kabamba litakalo julikana kwa jina la "Jishindie Mamilioni".


WASAMBAZAJI wa vinywaji baridi aina ya Pepsi.Mirinda,7 up,Mountain Dew(300ml,
pamoja na Evervess ambayo ni Kampuni ya (SBC),wanayo furaha tele kukuletea
Shindano kabamba litakalo julikana  kwa jina la "Jishindie Mamilioni".

Hayo yamesemwa Dar es Salaam  na Meneja masoko wa SBC ,Roselyne Buruno wa
kati alipo kuwa akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusiana na shindano hilo,
amesema litahusisha mikoa ya Dar es Salaam,Pwani,Morogoro,Dodoma,Tanga,Lindi
pamoja na Mtwara ambapo Vizibovya Shindano hilo vitakuwa na rangi ya Silva na
litakuwa na zawadi za Pesa taslimu kiasi cha shiling:1,00,000/=,500,000/- 10,000/=,
5000/=,1000/= pamoja na Soda ya Bure.


"Ilimteja ajishindie zawadi anatakiwa  kununua soda za jamii ya Pepsi kisha
abandue ganda la ndani ya kizibo akikuta maandishi ya pesa taslimu kama yalivyo
tajwa hapo juu,"anasema Roselyne .

Anasema pia baada ya kubandua  mteja atakuta maandishi mengine  aidha ya Free 
Pepsi(Soda ya Bure) atakuwa amejishindia Soda hiyo hapo hapo.

Meneja masoko huyo alisema kuwa zawadi za Shilingi 1,000,000/=,5000,000 zitatolewa
kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa9 jioni siku za Jumatatu hadi Ijumaa (Isipo kuwa siku za
siku kuu),SBC Tanzania ltd,54/57 wapo  bara bara ya Nyerere Dar es Salaam ambapo
wamezitaja  Depot zao kuwa ni Dar es Salaam , Morogoro na Lindi na pia Depot
ya Dodoma na kuwa ujio wa shindano lenyewe ndio fursa nzuri kwa wanywaji wa soda
hizo kushinda mamilioni ya ushindi.

SBC imetajwa kuwa Februari 2018 ndio siku ya mwisho ya kutoa zawadi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.