Skip to main content

Will Smith NYOTA KITAMBO KWENTE 'GEMU'



.WASANII wengi wa nchi zilizoendelea wamekuwa wakihakikisha vizazi vyao vinavaa viatu vyao.

Hii tumewahi kuishuhudia kwa wakali mbalimbali, ambao watoto wao wakianza kupata akili huanza kuwafundisha fani mbalimbali.

Iwe kwa wanamuziki, waigizaji au hata wachezaji mpira, huakikisha kizazi chao kinafuata nyayo hizo katika siku za usoni.

Willow Camille Smith ni mwimbaji na mwimbaji kutoka nchini Marekani ambaye amezaliwa 31 Oktoba 2000.

Yeye ni binti wa mkongwe wa muziki na filamu Will Smith na Jada Pinkett Smith ambaye pia ni kama mume wake.

 Willow alianza kuonekana katika ulimwengu wa filamu mwaka 2007 alipoigiza ile ya I Am Legend na baadaye alionekana katika Kit Kittredge.

Filamu hizo mbili ziliweza kumfanya Willow kupata tuzo ya msanii bora chipukizi, kututokana na uwezo  mkubwa aliouonyesha huku akiwa katika umri mdogo.

Mwaka 2010 ndio alijikita katika tasnia ya muziki baada ya kutoa 'single' yake ya kwanza " Whip My Hair " na " 21 Girl Century ".

"Whip My Hair" ulifanikiwa kushika nafasi ya 11 kwenye chati za Billboard Hot 100, huku video yake ikinyakua tuzo ya video bora ya mwaka katika tuzo za BET 2011 .

Nyimbo hizi mbili zilimvutia mtayarishaji mkongwe na mfalme wa Hip Pop kwa sasa, Jay-Z ambaye alimpa mkataba katika studio ya Nation Roc .

Willow ana ndugu zake wawili Trey Smith ambaye amechangia baba, na Jaden Smith.

Willow na ndugu zake ni mabalozi vijana kwa ajili ya Mradi wa Zambia , ambayo unatoa msaada kwa watoto yatima kutokana na Ukimwi kwa kushirikiana na Hasbro.

Kwa sasa Willow pamoja na ndugu zake wapo katika mchakato wa kutoa albamu mpya ya pamoja baada ya mama yao Jada kuthibitisha hilo.

Pia Willow kwa katika mahojiano na kituo cha MTv hivi karibuni alidai kuwa kwa sasa anataka mwaka huu ajikite zaidi katika filamu kuliko muziki.

Binti huyo anasema ataki kuwa kama baba yake ambaye kuna wakati alishindwa kujitambua kipi anakipenda zaidi kati ya filamu na muziki.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...