Skip to main content

Upinzani wa Djibouti waishutumu serikali kwa udhibiti


Na Harbi Abdillahi Omar, Djibouti
Vyama vya siasa vya Djibouti vilizindua kampeni zao wiki iliyopita kuelekea uchaguzi wa wabunge tarehe 22 Februari, lakini vyama vya upinzani vimelalamika kuwa serikali inawazuia fursa zao isivyo halali.
Wafuasi wa Chama cha Union for National Salvation wakiwa wamekusanyika katika mtaa Avenue 26 wa Jiji la Djibouti kwa ajili ya mkutano wa tarehe 10 Februari. [Picha ya Harbi Abdillahi Omar/Sabahi]
Katika kipindi cha wiki mbili zijazo, chama tawala cha Union for a Presidential Majority (UMP), ambacho kimekuwepo madarakani kwa muongo mzima, Chama cha upinzani cha Union for National salvation (USN) na mrengo wa kati cha Centre for Unified Democrats (CDU) vitawasilisha ajenda zao za kisiasa kwa wananchi. Zaidi ya raia 173,900 wameandikishwa kupiga kura katika uchaguzi huo.
"Kambi mbili hazishindani katika uwanja sawa wa mchezo," alisema Hamdi Farah, mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Djibouti ambaye anaunga mkono chama cha Republican Alliance for Development, ambacho ni sehemu ya muungano wa vyama vya upinzani. "Kwa kampeni hii, upinzani umeanza na mwanzo mbaya, kwa vile tovuti zao kadhaa za intaneti bado zinadhibitiwa na serikali."
Tovuti za upinzani ambazo haziwezi kuonekana kutoka Djibouti ni pamoja na msemaji wa USN Daher Ahmed Farah wa chama cha Movement for Democratic Renewal, ambayo inaweza kufikiwa kupitia tovuti ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka, Chama cha Republican Alliance for Development na Sauti ya Djibouti, tovuti mpya ya habari yenye uhusiano na upinzani.
"Upinzani kamwe haukuwahipo kuhakikishiwa kuwa udhibiti wa habari ungeondoshwa," aliiambia Sabahi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.