Skip to main content

Upinzani wa Djibouti waishutumu serikali kwa udhibiti


Na Harbi Abdillahi Omar, Djibouti
Vyama vya siasa vya Djibouti vilizindua kampeni zao wiki iliyopita kuelekea uchaguzi wa wabunge tarehe 22 Februari, lakini vyama vya upinzani vimelalamika kuwa serikali inawazuia fursa zao isivyo halali.
Wafuasi wa Chama cha Union for National Salvation wakiwa wamekusanyika katika mtaa Avenue 26 wa Jiji la Djibouti kwa ajili ya mkutano wa tarehe 10 Februari. [Picha ya Harbi Abdillahi Omar/Sabahi]
Katika kipindi cha wiki mbili zijazo, chama tawala cha Union for a Presidential Majority (UMP), ambacho kimekuwepo madarakani kwa muongo mzima, Chama cha upinzani cha Union for National salvation (USN) na mrengo wa kati cha Centre for Unified Democrats (CDU) vitawasilisha ajenda zao za kisiasa kwa wananchi. Zaidi ya raia 173,900 wameandikishwa kupiga kura katika uchaguzi huo.
"Kambi mbili hazishindani katika uwanja sawa wa mchezo," alisema Hamdi Farah, mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Djibouti ambaye anaunga mkono chama cha Republican Alliance for Development, ambacho ni sehemu ya muungano wa vyama vya upinzani. "Kwa kampeni hii, upinzani umeanza na mwanzo mbaya, kwa vile tovuti zao kadhaa za intaneti bado zinadhibitiwa na serikali."
Tovuti za upinzani ambazo haziwezi kuonekana kutoka Djibouti ni pamoja na msemaji wa USN Daher Ahmed Farah wa chama cha Movement for Democratic Renewal, ambayo inaweza kufikiwa kupitia tovuti ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka, Chama cha Republican Alliance for Development na Sauti ya Djibouti, tovuti mpya ya habari yenye uhusiano na upinzani.
"Upinzani kamwe haukuwahipo kuhakikishiwa kuwa udhibiti wa habari ungeondoshwa," aliiambia Sabahi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...