Skip to main content

Al-Shabaab hawawezi 'kukimbia ukweli' wakati hadithi za al-Amriki zinaendelea


Boniface Bosire alichangia katika habari hii kutoka Nairobi
Waraka uliotolewa tarehe 18 Februari na Wandishi asiyejulikana akidai ana mahusiano na al-Shabaab ni ushahidi zaidi kwamba saga linaloendelea kumhusu mwanamgambo mzaliwa wa Marekani Omar Hammami ni tishio baya -- kama sio hatari -- kwa uongozi wa al-Shabaab.
Waraka mpya wenye ukurasa 17 ndio jaribio pana zaidi la al-Shabaab kumkataa na kumtenga mwanajihadi mzaliwa wa Marekani Omar Hammami. [Jalada]
Waraka huo wa ukurasa 17 wenye kicha cha habari "Kukimbia ukweli hakuwezi kulifanya litoweke: Kufisha hadithi ya Abu Mansour", ni jaribio pana la kuwaaibisha na kuwatenga wafuasi wa Hammami, anayejulikana pia kama Abu Mansour al-Amriki, kwa kushambulia utu wake, inia na dhamira yake katika jihadi.
"Wakati na fedha vinatumiwa kupunguza hasara ambayo tayari imeshafanyika na mpasuko uliopo [miongoni mwa al-Shabaab]," alisema Samson Omusula, mshauri wa masuala ya usalama aliyeko Nairobi, na kuongeza kuwa kikundi cha wanamgambo hakipotezi juhudi yoyote katika kufikia umma wa wasomaji ulioenea.
"[Waraka huu] ni jaribio [la la-Shabaab] kujionyesha wenyewe kama kikundi chenye wasiwasi na matatizo ya kifedha na wafuasi ambao hawakuungana," aliiambia Sabahi.
Masuala madogo yanayojulikana kuhusu mtu anayedaiwa kuandika huu waraka, Abu Hamza al-Muhajir, kuliko kile kilichomo ndani yake.
Waraka huu, ambao umeandikwa kwa Kiingereza cha mitaani na kutolewa na picha za kuvutia, nukuu za kuvuta, mfumo rahisi wa kidijitali, unamwonyesha mwandishi kama mtu wa Magharibi katika juhudi za kuwashawishi wasomaji kwamba yeye na wapiganaji wengine wa kigeni hawako pamoja na kutoridhika kwa al-Amriki kwa Uongozi wa al-Shabaab.
Hata hivyo, ushahidi unaonyesha uwezekano mkubwa kwamba kwa kweli al-Muhajir ni mwanachama wa Somalia wa al-Shabaab.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.