Skip to main content

Al-Shabaab hawawezi 'kukimbia ukweli' wakati hadithi za al-Amriki zinaendelea


Boniface Bosire alichangia katika habari hii kutoka Nairobi
Waraka uliotolewa tarehe 18 Februari na Wandishi asiyejulikana akidai ana mahusiano na al-Shabaab ni ushahidi zaidi kwamba saga linaloendelea kumhusu mwanamgambo mzaliwa wa Marekani Omar Hammami ni tishio baya -- kama sio hatari -- kwa uongozi wa al-Shabaab.
Waraka mpya wenye ukurasa 17 ndio jaribio pana zaidi la al-Shabaab kumkataa na kumtenga mwanajihadi mzaliwa wa Marekani Omar Hammami. [Jalada]
Waraka huo wa ukurasa 17 wenye kicha cha habari "Kukimbia ukweli hakuwezi kulifanya litoweke: Kufisha hadithi ya Abu Mansour", ni jaribio pana la kuwaaibisha na kuwatenga wafuasi wa Hammami, anayejulikana pia kama Abu Mansour al-Amriki, kwa kushambulia utu wake, inia na dhamira yake katika jihadi.
"Wakati na fedha vinatumiwa kupunguza hasara ambayo tayari imeshafanyika na mpasuko uliopo [miongoni mwa al-Shabaab]," alisema Samson Omusula, mshauri wa masuala ya usalama aliyeko Nairobi, na kuongeza kuwa kikundi cha wanamgambo hakipotezi juhudi yoyote katika kufikia umma wa wasomaji ulioenea.
"[Waraka huu] ni jaribio [la la-Shabaab] kujionyesha wenyewe kama kikundi chenye wasiwasi na matatizo ya kifedha na wafuasi ambao hawakuungana," aliiambia Sabahi.
Masuala madogo yanayojulikana kuhusu mtu anayedaiwa kuandika huu waraka, Abu Hamza al-Muhajir, kuliko kile kilichomo ndani yake.
Waraka huu, ambao umeandikwa kwa Kiingereza cha mitaani na kutolewa na picha za kuvutia, nukuu za kuvuta, mfumo rahisi wa kidijitali, unamwonyesha mwandishi kama mtu wa Magharibi katika juhudi za kuwashawishi wasomaji kwamba yeye na wapiganaji wengine wa kigeni hawako pamoja na kutoridhika kwa al-Amriki kwa Uongozi wa al-Shabaab.
Hata hivyo, ushahidi unaonyesha uwezekano mkubwa kwamba kwa kweli al-Muhajir ni mwanachama wa Somalia wa al-Shabaab.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...