Skip to main content

DIAMOND AFUNGUKA NA KUJIFAGILIA



NGULI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul 'Diamond' amesema, anajivunia kuweka historia ya kufanya onyesho, ambalo mashabiki wamelipa kiingilio kikubwa ili kumshuhudia.

Diamond ameeleza kupitia mtandao wake kuwa, katika maisha yake, hajawahi kufanya onyesho, ambalo mashabiki walilipa zaidi ya sh. 20,000.

Katika onyesho hilo lililofanyika wiki iliyopita kwenye ukumbi wa klabu ya Safari Carnival mjini Arusha, kiingilio kilikuwa sh. 150,000 kwa mtu mmoja.

"Kiukweli namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha onyesho hilo,"alisema msanii huyo, ambaye amewahi kushinda tuzo kadhaa za muziki za Kilimanjaro.

"Huwezi kuamini, licha ya kiingilio kuwa kikubwa, mashabiki walifurika pasipo hata mimi kutegemea. Kiukweli, ilinifariji sana,"aliongeza.

Kwa mujibu wa Diamond, wingi wa mashabiki hao ulidhihirisha kwamba watanzania wanathamini na kujali vipaji vya wasanii wao tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma.

"Zamani shoo ya kiingilio kikubwa ilikuwa mpaka msanii atoke nje ya nchi. Hali hii inanipa changamoto ya kuzidi kufanya vizuri, kujituma na kuwa mbunifu zaidi,"alisema.

Diamond alisema moja ya mipango yake ya baadaye kimuziki ni kuitangaza Tanzania kimataifa.

Aliushukuru uongozi wa Safari Carnival na mashabiki wote wa muziki wa Arusha waliojitokeza kushuhudia onyesho hilo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...