Skip to main content

PISTORIUS:AFUNGUKA KUMUUA MPENZI WANGU



JOHANNESBURG, Afrika Kusini

MCHEZAJI nyota wa michezo ya walemavu, Oscar Pistorius amesisitiza kuwa, hakuwa amedhamiria kumuua mpenzi wake, Reeva Steenkamp.

Pistorius alisema hayo juzi kupitia taarifa iliyosomwa mahakamani kuhusu tuhuma za kumuua Reeva katika tukio lililotokea nyumbani kwake Februari 14 mwaka huu.

Mshtakiwa huyo alidai kuwa, alimuua Reeva kimakosa kwa kuhisi ni mwizi aliyeingia nyumbani kwake kupora baada ya kushtuka kutoka usingizini usiku wa manane.

Awali, Mwendesha Mashtaka Gerrie Nel aliieleza mahakama kuwa, Pistorius aliamka kitandani na kuvaa miguu yake ya bandia na kutembea umbali wa mita saba kabla ya kumfyatulia risasi Reeva kupitia kwenye mlango wa bafu uliokuwa umefungwa.

Nel aliieleza mahakama kuwa, mauaji hayo yalikuwa yamepangwa na mtuhumiwa baada ya kutokea ugomvi kati yake na marehemu.

Lakini Pistorius aliieleza mahakama kuwa, alishtuka kutoka usingizini baada ya kusikia sauti kutoka bafuni, akiamini alikuwa mwizi.

Mshtakiwa huyo alidai kuwa, alipiga kelele kabla ya kufyatua risasi kupitia kwenye mlango wa bafu.

Alidai kuwa, baadaye aligundua kwamba Reeva hakuwepo kitandani na ikamjia hisia kwamba, huenda ndiye aliyekuwemo bafuni wakati huo.

Mshtakiwa huyo aliieleza mahakama kuwa, alilazimika kutumia kifaa cha kuchezea kriketi kuvunja mlango wa bafuni na kumkuta Reeva akiwa amelala sakafuni.

Pistorius alidai kuwa, alimkuta Reeva akiwa bado yupo hai na kuamua kupiga simu kuita gari la wagonjwa kabla ya mchumba wake huyo kupoteza maisha akiwa mikononi mwake.

"Nilishindwa kuelewa nitafunguliwaje mashtaka ya tuhuma za mauaji kwa sababu sikupanga kumuua mpenzi wangu,"alidai mwanamichezo huyo.

Kwa mujibu wa Pistorius, amekuwa na kawaida ya kulala na bastola kitandani kwake tangu alipopata vitisho vya kuuawa na kwamba alipoinuka kitandani kwenda bafuni, hakuwa amevaa miguu yake ya bandia.

Wakati taarifa hiyo ikisomwa mahakamani, Pistorius alikuwa akilia na kutetemeka.Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Desmond Nair.

Wakili Barry Roux, anayemtetea Pistorius aliieleza mahakama kuwa, Reeva hakuwa ameuawa kwa makusudi na kwamba zipo kesi nyingi za aina hiyo, ambazo baadhi ya watu waliwaua ndugu wa familia zao kupitia madirishani kwa kuwahisi wezi.

Pistorius alishinda medali mbili za dhahabu na moja ya fedha katika michezo ya Olimpiki ya Walemavu iliyofanyika 2012 mjini London, Uingereza.

Wakati huo huo, mazishi ya Reeva yalifanyika juzi nyumbani kwake katika mji wa Port Elizabeth.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.