Skip to main content

Mataifa yenye nguvu duniani yalaani Korea Kaskazini


Na Victor Melkizedeck Abuso
Mataifa yenye nguvu duniani yamelaani hatua ya Korea Kaskazini kujaribu zana zake za Nyuklia licha ya onyo la kutofanya hivyo kutoka kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Miongoni mwa mataifa hayo ni pamoja na Marekani,China na Urusi ambayo kwa pamoja viongozi wake wameungana kukashifu hatua hiyo ya Pyongyang, na kutaka ichukuliwe hatua ya kuwekewa vikwazo zaidi.
Korea Kaskazini inasema imefanikiwa kufanya jaribio la ardhini la zana zake za Nyuklia na kuzua shutuma nzito kutoka kwa Jumuiya ya Kimataifa.
Serikali ya Pyongyang inasema jaribio hilo la tatu limefanikiwa pakubwa sana na limefanyika kwa utalaam wa hali ya juu.
Rais wa Marekani Barrack Obama ameshtumu hatua hiyo ya Korea Kaskazini na kusema kuwa ni sharti Jumuiya ya Kimataifa ichukue hatua dhidi ya serikali hiyo kwa kile alichokieleza hatua hiyo inatishia usalama wa Marekani na wa dunia nzima.
Awali, Umoja wa Mataifa ulikuwa umeonya serikali ya Pyongyang kuwa itachukuliwa hatua ikiwa itafanya jaribio lingine la zana zake za Nyuklia.
Tayari Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon ameshtumu hatua hiyo anayosema imevunja azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kufanya jaribio hilo.

Wajumbe katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wanakutana siku ya Jumanne kujadili hatua hiyo ya Pyongyang na kuona ni hatua gani watakayochukua dhidi ya serikali hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.