Skip to main content

Makundi ya haki za kibinadamu yaonya kuhusu hatari ya vurugu za hali ya juu katika uchaguzi wa Kenya


Hatari ya vurugu za kisiasa nchini Kenya ni "kubwa sana" kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao, Human Rights Watch (HRW) ilionya katika ripoti iliyotolewa siku ya Alhamisi (tarehe 7 Februari).
Jeshi la Kenya likifanya doria mitaani mjini Nairobi tarehe 29 Mei 2012, siku moja baada ya dazeni ya watu kujeruhiwa katika shambulio la bomu. [Picha ya Simon Maina/AFP]
Ripoti ya kurasa 58 kikundi hicho, "Hatari Kubwa: Vurugu za Kisiasa na Uchaguzi wa Kenya 2013", inasema uhaba wa maendeleo ya serikali ya Kenya juu ya mageuzi iliyoahidi na kushindwa kushughulikia ukiukwaji wa haki za kibinadamu zinaoendelea na uliopita vimechangia kuzua mivutano Kenya yote kabla ya uchaguzi mkuu wa tarehe 4 Machi.
Ripoti ya HRW imetokana na kuwasaili watu 225 Kenya nzima, kukiwa na wengi zaidi katika mikoa ya Kati, Pwani, Mashariki, Kaskazini Mashariki, Nyanza na Bonde la Ufa.
Ripoti hiyo inapendekeza kwamba viongozi wa Kenya wachukue hatua za haraka, ikiwa ni pamoja na kuwakamata na kuwashtaki kwa haki wale wanaohusika moja kwa moja katika kuchochea au kuandaa vurugu, ili kuhakikisha ufanyikaji wa uchaguzi wa amani na haki.
"Vurugu haziepukiki, lakini ishara za tahadhari ziko wazi sana kiasi cha kutostahiki kupuuzwa," alisema Mkurugenzi wa HRW Afrika Daniel Bekele. "Serikali imeshindwa kushughulikia sababu za vurugu ambazo zimezikumba chaguzi za vyama vingi tangu mwaka 1992, na hasa mauaji ya 2007-2008, kwa hivyo hatua za haraka zinahitajika ili kuwalinda Wakenya."
Kiasi cha watu 1,200 waliuawa na kiasi cha 300,000 kukimbia makazi yao wakati wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...