Skip to main content

Makundi ya haki za kibinadamu yaonya kuhusu hatari ya vurugu za hali ya juu katika uchaguzi wa Kenya


Hatari ya vurugu za kisiasa nchini Kenya ni "kubwa sana" kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao, Human Rights Watch (HRW) ilionya katika ripoti iliyotolewa siku ya Alhamisi (tarehe 7 Februari).
Jeshi la Kenya likifanya doria mitaani mjini Nairobi tarehe 29 Mei 2012, siku moja baada ya dazeni ya watu kujeruhiwa katika shambulio la bomu. [Picha ya Simon Maina/AFP]
Ripoti ya kurasa 58 kikundi hicho, "Hatari Kubwa: Vurugu za Kisiasa na Uchaguzi wa Kenya 2013", inasema uhaba wa maendeleo ya serikali ya Kenya juu ya mageuzi iliyoahidi na kushindwa kushughulikia ukiukwaji wa haki za kibinadamu zinaoendelea na uliopita vimechangia kuzua mivutano Kenya yote kabla ya uchaguzi mkuu wa tarehe 4 Machi.
Ripoti ya HRW imetokana na kuwasaili watu 225 Kenya nzima, kukiwa na wengi zaidi katika mikoa ya Kati, Pwani, Mashariki, Kaskazini Mashariki, Nyanza na Bonde la Ufa.
Ripoti hiyo inapendekeza kwamba viongozi wa Kenya wachukue hatua za haraka, ikiwa ni pamoja na kuwakamata na kuwashtaki kwa haki wale wanaohusika moja kwa moja katika kuchochea au kuandaa vurugu, ili kuhakikisha ufanyikaji wa uchaguzi wa amani na haki.
"Vurugu haziepukiki, lakini ishara za tahadhari ziko wazi sana kiasi cha kutostahiki kupuuzwa," alisema Mkurugenzi wa HRW Afrika Daniel Bekele. "Serikali imeshindwa kushughulikia sababu za vurugu ambazo zimezikumba chaguzi za vyama vingi tangu mwaka 1992, na hasa mauaji ya 2007-2008, kwa hivyo hatua za haraka zinahitajika ili kuwalinda Wakenya."
Kiasi cha watu 1,200 waliuawa na kiasi cha 300,000 kukimbia makazi yao wakati wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.