Skip to main content

CHEKI TEGETE ALIVYO TUPIA NYAVUNI



MSHAMBULIAJI Jerry Tegete jana aliendelea kudhihirisha makali yake katika kutikisa nyavu za timu pinzani baada ya kuifungua Yanga mabao mawili kati ya manne katika mechi dhidi ya African Lyon.

Katika mechi hiyo ya ligi kuu ya Tanzania Bara, iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Yanga iliichapa Lyon mabao 4-0 na kuzidi kujikita kileleni mwa ligi hiyo.

Ushindi huo umeiwezesha Yanga kuendelea kuongoza ligi hiyo kwa kuwa na pointi 36 baada ya kucheza mechi 16, ikiwa mbele ya Azam kwa tofauti ya pointi tatu. Simba ni ya tatu ikiwa na pointi 28.

Tegete aliifungia Yanga la kwanza dakika ya 21, alipounganisha wavuni kwa kichwa krosi kutoka kwa David Luhende. Aliongezea bao la pili dakika ya 42 kwa kisigino baada ya kupokea pasi kutoka kwa Simon Msuva.

Yanga ilipata nafasi nyingine nzuri za kufunga mabao dakika ya sita, 13, 24 na 35, lakini zilipotezwa na Hamisi Kiiza, Tegete na Haruna Niyonzima. Timu hizo zilikwenda mapumziko Yanga ikiwa mbele kwa mabao 2-0.

Katika kipindi cha pili, Yanga ilifanikiwa kupata penalti mbili. Ya kwanza ilipatikana dakika ya 48 baada ya beki mmoja wa Lyon kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari, lakini ilipotezwa na Hamisi Kiiza baada ya shuti lake kudakwa na kipa Abdul Seif.

Penalti ya pili ilipatikana dakika ya 77 na kupachikwa wavuni na Didier Kavumbagu baada ya mchezaji mwingine wa Lyon kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari.

Bao la nne la Yanga lilifungwa na Nizar Khalfan dakika ya 81 baada ya kupokea pasi kutoka kwa Saidi Bahanuzi.

Lyon ilipata nafasi nzuri ya kufunga bao dakika ya 50 wakati Kyata alipopewa pasi safi na Mohamed Samatta akiwa ndani ya eneo la hatari, lakini shuti lake lilipanguliwa na kipa Ally Mustafa wa Yanga.

Yanga: Ally Barthez, Juma Abdul, David Luhende, Nadir Haroub, Kelvin Yondan, Athumani Iddi, Simon Msuva/Nizar Khalfan, Frank Domayo, Jerry Tegete, Hamizi Kiiza/Didier Kavumbagu, Haruna Niyonzima.

Lyon:Abdul Seif, Yusuf Mlipili, Sunday Bakari, Ibrahim Job, Obina Salamusasa, Abdulehan Gulam,Amani Kyata, Mohamed Samatta, Iddi Mbaga/Yusuf Mgwao, Bright Ike, Adam Kingwande.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...