Skip to main content

CHEKI TEGETE ALIVYO TUPIA NYAVUNI



MSHAMBULIAJI Jerry Tegete jana aliendelea kudhihirisha makali yake katika kutikisa nyavu za timu pinzani baada ya kuifungua Yanga mabao mawili kati ya manne katika mechi dhidi ya African Lyon.

Katika mechi hiyo ya ligi kuu ya Tanzania Bara, iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Yanga iliichapa Lyon mabao 4-0 na kuzidi kujikita kileleni mwa ligi hiyo.

Ushindi huo umeiwezesha Yanga kuendelea kuongoza ligi hiyo kwa kuwa na pointi 36 baada ya kucheza mechi 16, ikiwa mbele ya Azam kwa tofauti ya pointi tatu. Simba ni ya tatu ikiwa na pointi 28.

Tegete aliifungia Yanga la kwanza dakika ya 21, alipounganisha wavuni kwa kichwa krosi kutoka kwa David Luhende. Aliongezea bao la pili dakika ya 42 kwa kisigino baada ya kupokea pasi kutoka kwa Simon Msuva.

Yanga ilipata nafasi nyingine nzuri za kufunga mabao dakika ya sita, 13, 24 na 35, lakini zilipotezwa na Hamisi Kiiza, Tegete na Haruna Niyonzima. Timu hizo zilikwenda mapumziko Yanga ikiwa mbele kwa mabao 2-0.

Katika kipindi cha pili, Yanga ilifanikiwa kupata penalti mbili. Ya kwanza ilipatikana dakika ya 48 baada ya beki mmoja wa Lyon kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari, lakini ilipotezwa na Hamisi Kiiza baada ya shuti lake kudakwa na kipa Abdul Seif.

Penalti ya pili ilipatikana dakika ya 77 na kupachikwa wavuni na Didier Kavumbagu baada ya mchezaji mwingine wa Lyon kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari.

Bao la nne la Yanga lilifungwa na Nizar Khalfan dakika ya 81 baada ya kupokea pasi kutoka kwa Saidi Bahanuzi.

Lyon ilipata nafasi nzuri ya kufunga bao dakika ya 50 wakati Kyata alipopewa pasi safi na Mohamed Samatta akiwa ndani ya eneo la hatari, lakini shuti lake lilipanguliwa na kipa Ally Mustafa wa Yanga.

Yanga: Ally Barthez, Juma Abdul, David Luhende, Nadir Haroub, Kelvin Yondan, Athumani Iddi, Simon Msuva/Nizar Khalfan, Frank Domayo, Jerry Tegete, Hamizi Kiiza/Didier Kavumbagu, Haruna Niyonzima.

Lyon:Abdul Seif, Yusuf Mlipili, Sunday Bakari, Ibrahim Job, Obina Salamusasa, Abdulehan Gulam,Amani Kyata, Mohamed Samatta, Iddi Mbaga/Yusuf Mgwao, Bright Ike, Adam Kingwande.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.