Skip to main content

CHEKI TEGETE ALIVYO TUPIA NYAVUNI



MSHAMBULIAJI Jerry Tegete jana aliendelea kudhihirisha makali yake katika kutikisa nyavu za timu pinzani baada ya kuifungua Yanga mabao mawili kati ya manne katika mechi dhidi ya African Lyon.

Katika mechi hiyo ya ligi kuu ya Tanzania Bara, iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Yanga iliichapa Lyon mabao 4-0 na kuzidi kujikita kileleni mwa ligi hiyo.

Ushindi huo umeiwezesha Yanga kuendelea kuongoza ligi hiyo kwa kuwa na pointi 36 baada ya kucheza mechi 16, ikiwa mbele ya Azam kwa tofauti ya pointi tatu. Simba ni ya tatu ikiwa na pointi 28.

Tegete aliifungia Yanga la kwanza dakika ya 21, alipounganisha wavuni kwa kichwa krosi kutoka kwa David Luhende. Aliongezea bao la pili dakika ya 42 kwa kisigino baada ya kupokea pasi kutoka kwa Simon Msuva.

Yanga ilipata nafasi nyingine nzuri za kufunga mabao dakika ya sita, 13, 24 na 35, lakini zilipotezwa na Hamisi Kiiza, Tegete na Haruna Niyonzima. Timu hizo zilikwenda mapumziko Yanga ikiwa mbele kwa mabao 2-0.

Katika kipindi cha pili, Yanga ilifanikiwa kupata penalti mbili. Ya kwanza ilipatikana dakika ya 48 baada ya beki mmoja wa Lyon kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari, lakini ilipotezwa na Hamisi Kiiza baada ya shuti lake kudakwa na kipa Abdul Seif.

Penalti ya pili ilipatikana dakika ya 77 na kupachikwa wavuni na Didier Kavumbagu baada ya mchezaji mwingine wa Lyon kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari.

Bao la nne la Yanga lilifungwa na Nizar Khalfan dakika ya 81 baada ya kupokea pasi kutoka kwa Saidi Bahanuzi.

Lyon ilipata nafasi nzuri ya kufunga bao dakika ya 50 wakati Kyata alipopewa pasi safi na Mohamed Samatta akiwa ndani ya eneo la hatari, lakini shuti lake lilipanguliwa na kipa Ally Mustafa wa Yanga.

Yanga: Ally Barthez, Juma Abdul, David Luhende, Nadir Haroub, Kelvin Yondan, Athumani Iddi, Simon Msuva/Nizar Khalfan, Frank Domayo, Jerry Tegete, Hamizi Kiiza/Didier Kavumbagu, Haruna Niyonzima.

Lyon:Abdul Seif, Yusuf Mlipili, Sunday Bakari, Ibrahim Job, Obina Salamusasa, Abdulehan Gulam,Amani Kyata, Mohamed Samatta, Iddi Mbaga/Yusuf Mgwao, Bright Ike, Adam Kingwande.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...