Skip to main content

Watu 31 wapoteza maisha nchini Syria kwa mlipuko wa Bomu la kujitoa muhanga


Shambulizi la kujitoa mhanga lililotekelezwa nchini Syria limesababisha watu 31 kupoteza maisha baada ya bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari kulipuka katika Jiji la Damascus karibu na Makao makuu ya Chama cha Baath. 
Shambulizi la Bomu la Kujitoa Mhanga lililotekelezwa Jiji Damacus na kusababisha vifo vya watu 31
Mashirika ya Kutetea Haki za Binadamu yamethibitisha kutokea kwa mashambulizi manne tofauti nchini Syria katika Jiji la Damascus yanayotajwa kutekelezwa na Wapiganaji wa Upinzani.
Wengi wa waliopoteza maisha kati ya hao 31 ni raia wa kawaida ambapo taarifa zinasema watu wengine wengi wamejeruhiwa bila ya kutajwa idadi kamili ya wale waliopata majeraha kwenye mashambilizi hayo.
Shambulizi la bomu la kujitoa mhanga lililotekelezwa kwenye Makao Makuu ya Chama tawala Cha Baath ndilo linatajwa kuchangia vifo vya watu wengi zaidi huku mashambulizi mengine yakifanywa katika eneo la Mazraa.
Televisheni ya taifa inayounga mkono serikali ya Rais Bashar Al Assad imesema mashambulizi hayo ni muendelezo wa mashambulizi ya kigaidi yanayofanywa na wapinzani wa serikali.
Televisheni ya Al-Ikhbariya imeonesha baadhi ya video za shambulizi hilo huku watu wengi wakionekana kuhaha huku na kule katika kuwaokoa manusura wa shambulizi hilo katika Jiji la Damascus.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Al-Ikhbariya miongoni mwa waliopoteza maisha ni pamoja na watoto wanne waliokuwa karibu kabisa na Makao Makuu ya Chama Tawala cha Baath huku wengine wakijeruhiwa.
Mashuhuda wa shambulizi hilo wamesema waliona gari moja likilipuka kwenye kituo cha ukaguzi wa magari kilichopo karibu na Ubalozi wa Urusi na Makao Makuu ya Chama Tawala Cha Baath.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...