Skip to main content

Watu 31 wapoteza maisha nchini Syria kwa mlipuko wa Bomu la kujitoa muhanga


Shambulizi la kujitoa mhanga lililotekelezwa nchini Syria limesababisha watu 31 kupoteza maisha baada ya bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari kulipuka katika Jiji la Damascus karibu na Makao makuu ya Chama cha Baath. 
Shambulizi la Bomu la Kujitoa Mhanga lililotekelezwa Jiji Damacus na kusababisha vifo vya watu 31
Mashirika ya Kutetea Haki za Binadamu yamethibitisha kutokea kwa mashambulizi manne tofauti nchini Syria katika Jiji la Damascus yanayotajwa kutekelezwa na Wapiganaji wa Upinzani.
Wengi wa waliopoteza maisha kati ya hao 31 ni raia wa kawaida ambapo taarifa zinasema watu wengine wengi wamejeruhiwa bila ya kutajwa idadi kamili ya wale waliopata majeraha kwenye mashambilizi hayo.
Shambulizi la bomu la kujitoa mhanga lililotekelezwa kwenye Makao Makuu ya Chama tawala Cha Baath ndilo linatajwa kuchangia vifo vya watu wengi zaidi huku mashambulizi mengine yakifanywa katika eneo la Mazraa.
Televisheni ya taifa inayounga mkono serikali ya Rais Bashar Al Assad imesema mashambulizi hayo ni muendelezo wa mashambulizi ya kigaidi yanayofanywa na wapinzani wa serikali.
Televisheni ya Al-Ikhbariya imeonesha baadhi ya video za shambulizi hilo huku watu wengi wakionekana kuhaha huku na kule katika kuwaokoa manusura wa shambulizi hilo katika Jiji la Damascus.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Al-Ikhbariya miongoni mwa waliopoteza maisha ni pamoja na watoto wanne waliokuwa karibu kabisa na Makao Makuu ya Chama Tawala cha Baath huku wengine wakijeruhiwa.
Mashuhuda wa shambulizi hilo wamesema waliona gari moja likilipuka kwenye kituo cha ukaguzi wa magari kilichopo karibu na Ubalozi wa Urusi na Makao Makuu ya Chama Tawala Cha Baath.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.