Skip to main content

JK KUTAJA KAMATI KUU


MWENYEKITI wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete anatembea na mkoba wenye majina ya wajumbe wapya wa Kamati Kuu (CC) ya CCM hadi hapo atakapowatangaza kesho kutwa hivyo kuwaacha wajumbe wengi wa Halmashauri Kuu (NEC) wa chama hicho wakiwa roho juu iwapo majina yao ni miongoni mwake au l
Baadhi ya wajumbe hao walionekana jana katika viunga vya ofisi za makao makuu ya chama hicho (White House) mjini hapa wakiomba kura kwa wajumbe wenzao kama majina yao yatakuwa kwenye orodha hiyo ya Rais Kikwete...

“Nawaombeni mnikumbuke jina langu likija,” alisema mmoja wa wajumbe wa NEC ambaye pia ni Waziri wa Serikali ya awamu ya nne ambaye jina lake tunalihifadhi kwa sababu za kimaadili.
Ingawa baadhi ya wajumbe walimkejeli, wapo waliomtia moyo wakimwambia: “wewe bwana una akili sana, umekifanyia Chama kazi nyingi sana. Lazima jina lako lirudi.”
Wajumbe wa CC walipaswa kuteuliwa kwenye NEC iliyofanyika Novemba 10 hadi 12, mwaka jana lakini Rais Kikwete alisitisha mpango huo kwa kile alichosema kuwa anahitaji muda zaidi ili awafahamu vyema wajumbe wa NEC mpya iliyoteuliwa wakati huo.
Hali hiyo imekuwa ikiwaweka roho juu wajumbe wa NEC kwa kuwa wengi wao na hasa waliokuwa kwenye CC iliyopita wanatamani kuteuliwa tena.
Kutokana na subira hiyo ya Rais Kikwete, Chama hicho tawala kilisheherekea kutimiza umri wa miaka 36, Jumanne iliyopita mjini Kigoma, bila ya kuwa na Kamati Kuu, ambayo ilitakiwa kukaa na kutathmini mafanikio na matatizo ya chama hicho.
Jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema kuwa NEC itafanya kikao kwa siku mbili kuanzia kesho kutwa chini ya Uenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete.
Kwa mujibu wa Nnauye, pamoja na mambo mengine kikao hicho kitatanguliwa na semina ya siku mbili kwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa.“
Lengo la semina hii ni kuwaongezea wajumbe uelewa kuhusu masuala ya chama hicho na Serikali yake hasa ikizingatiwa kwamba wengi wa wajumbe ni wapya kutokana na wengi kuchaguliwa kwenye uchaguzi mkuu wa chama mwaka jana,” alisema.
Nnauye alisema kuwa semina hiyo itakuwa na mada kuu nne ambazo ni pamoja na ‘Nafasi ya wajibu wa mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa’, ‘Umuhimu wa maadili kwa viongozi na watendaji wa chama hicho’, ‘Mikakati ya kutekeleza maazimio ya Mkutano Mkuu wa Taifa wa nane wa CCM’ pamoja na ‘Mkakati wa kukuza ajira nchini’.
“Semina hii itafuatiwa na Mkutano rasmi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ambao pamoja na mambo mengine uchaguzi wa wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama,” aliongeza Nnauye.
Gazeti Mwananchi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...