Skip to main content

JK KUTAJA KAMATI KUU


MWENYEKITI wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete anatembea na mkoba wenye majina ya wajumbe wapya wa Kamati Kuu (CC) ya CCM hadi hapo atakapowatangaza kesho kutwa hivyo kuwaacha wajumbe wengi wa Halmashauri Kuu (NEC) wa chama hicho wakiwa roho juu iwapo majina yao ni miongoni mwake au l
Baadhi ya wajumbe hao walionekana jana katika viunga vya ofisi za makao makuu ya chama hicho (White House) mjini hapa wakiomba kura kwa wajumbe wenzao kama majina yao yatakuwa kwenye orodha hiyo ya Rais Kikwete...

“Nawaombeni mnikumbuke jina langu likija,” alisema mmoja wa wajumbe wa NEC ambaye pia ni Waziri wa Serikali ya awamu ya nne ambaye jina lake tunalihifadhi kwa sababu za kimaadili.
Ingawa baadhi ya wajumbe walimkejeli, wapo waliomtia moyo wakimwambia: “wewe bwana una akili sana, umekifanyia Chama kazi nyingi sana. Lazima jina lako lirudi.”
Wajumbe wa CC walipaswa kuteuliwa kwenye NEC iliyofanyika Novemba 10 hadi 12, mwaka jana lakini Rais Kikwete alisitisha mpango huo kwa kile alichosema kuwa anahitaji muda zaidi ili awafahamu vyema wajumbe wa NEC mpya iliyoteuliwa wakati huo.
Hali hiyo imekuwa ikiwaweka roho juu wajumbe wa NEC kwa kuwa wengi wao na hasa waliokuwa kwenye CC iliyopita wanatamani kuteuliwa tena.
Kutokana na subira hiyo ya Rais Kikwete, Chama hicho tawala kilisheherekea kutimiza umri wa miaka 36, Jumanne iliyopita mjini Kigoma, bila ya kuwa na Kamati Kuu, ambayo ilitakiwa kukaa na kutathmini mafanikio na matatizo ya chama hicho.
Jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema kuwa NEC itafanya kikao kwa siku mbili kuanzia kesho kutwa chini ya Uenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete.
Kwa mujibu wa Nnauye, pamoja na mambo mengine kikao hicho kitatanguliwa na semina ya siku mbili kwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa.“
Lengo la semina hii ni kuwaongezea wajumbe uelewa kuhusu masuala ya chama hicho na Serikali yake hasa ikizingatiwa kwamba wengi wa wajumbe ni wapya kutokana na wengi kuchaguliwa kwenye uchaguzi mkuu wa chama mwaka jana,” alisema.
Nnauye alisema kuwa semina hiyo itakuwa na mada kuu nne ambazo ni pamoja na ‘Nafasi ya wajibu wa mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa’, ‘Umuhimu wa maadili kwa viongozi na watendaji wa chama hicho’, ‘Mikakati ya kutekeleza maazimio ya Mkutano Mkuu wa Taifa wa nane wa CCM’ pamoja na ‘Mkakati wa kukuza ajira nchini’.
“Semina hii itafuatiwa na Mkutano rasmi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ambao pamoja na mambo mengine uchaguzi wa wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama,” aliongeza Nnauye.
Gazeti Mwananchi

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.