Skip to main content

Israel ilihusika na shambulio la Syria?


Waziri wa Ulinzi wa Israel, Ehud Barak
Israel imeonyesha ishara kwamba ilifanya mashambulizi ya anga nchini Syria wiki iliyopita, huku Rais Bashar al-Assad akilituhumu taifa hilo la Kiyahudi kwa kujaribu kuidhoofisha nchi yake ambayo inakumbwa na vita.
Israel imeonyesha ishara japo sio wazi kwamba ilifanya mashambulizi ya anga nchini Syria juma lililopita, huku Rais Bashar al-Assad akilituhumu taifa hilo la Kiyahudi kwa kujaribu kulidhoofisha taifa lake hilo ambalo linakumbwa na vita.
Siku nne baada ya Syria kudai kuwa Israel inahusika na shambulio la anga katika kituo cha utafiti wa kijeshi karibu na mji mkuu wa Damascus, Waziri wa Ulinzi wa Israel, Ehud Barak, amezungumza na waandishi wa habari mjini Munich, Ujerumani, lakini ameshindwa kuthibitisha kwamba Israel inahusika na shambulio hilo.
Kiongozi wa Hizbollah, Hassan Nasrallah
Kiongozi wa Hizbollah, Hassan Nasrallah
Barak jana aliwaambia wanadiplomasia wa ngazi za juu na maafisa wa masuala ya ulinzi katika mkutano wa usalama mjini Munich kwamba hicho kilikuwa ni kithibitisho kwamba wanaposema kitu huwa wanamaanisha. 
Israel haijathibitisha rasmi kuhusika na shambulio hilo, ingawa imekuwa ikizituhumu Iran na Syria kwa kulipatia silaha kundi la Hizbollah ambalo lilipambana na Israel katika vita vya mwezi mmoja mwaka 2006. 
Barak amesema hawadhani kama Syria inaruhusiwa kupeleka silaha za kisasa Lebanon.
Syria yatishia kulipiza kisasi
Syria imetishia kulipiza kisasi kutokana na mashambulizi hayo yaliyofanywa Jumatano iliyopita. Waziri Mkuu wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan mkosoaji mkubwa wa Assad na Israel ameituhumu Israel kwa kuendeleza hali ya ugaidi ambapo amelaani shambulio hilo la anga akisema halikubaliki na linakiuka sheria za kimataifa na amekiita kitendo hicho ni uchokozi wa kigeni. Aidha, ameikosoa Iran kwa kuiunga mkono Syria.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.