Skip to main content

Uganda yajitetea kuingia Sudan Kusini



MMM_55edc.jpg
Serikali ya Uganda imesema kupeleka wanajeshi wake Sudan Kusini na kujihusisha na mgogoro unaondelea huko Juba ipo chini ya mkataba kati ya serikali zao mbili.
Siku ya Jumatatu, Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa baadhi ya wanajeshi wake waliuwawa na kujeruhiwa huko Sudan Kusini.

Comments