Skip to main content

Mauaji yatikisa nchi ya Misri wakati ikiadhimisha miaka mitatu ya mapinduzi yaliyoangusha utawala wa Hosni Mubarak


Waandamanaji wanaounga mkono serikali ya mpito 
wakiwa na picha za Mkuu wa Jeshi, Generali 
Abdel Fattah al-Sisi. Reuters/路透社
Na Flora Martin Mwano
Takribani watu 29 wameuawa katika ghasia baina ya waandamanaji na polisi nchini Misri wakati Taifa hilo likiadhimisha kumbukumbu ya miaka mitatu ya mapinduzi yaliyoangusha utawala wa Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak.
Wizara ya afya imesema watu wengine 168 wamejeruhiwa kutokana na ghasia hizo.
Wakati ghasia hizo zikiendelea kwenye maeneo mbalimbali ya Misri, jijini Cairo katika medani ya Tahrir wafuasi wa serikali ya mpito waliendelea kushangilia miaka mitatu ya mapinduzi na kubeba mabango yenye ujumbe wa kumuunga mkono Mkuu wa Jeshi Generali Abdel Fattah al-Sisi ambaye huenda akawa Rais ajaye wa Taifa hilo.
Polisi walikabiliana nawaandamanaji wa kiislamu wanaopinga serikali ya mpito ya kijeshi huku wakimuunga mkono Rais aliyepinduliwa mwezi Julai mwaka jana Mohammed Morsi.
Hali ya usalama imezidi kuwa tete nchini humo kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara kujitokeza hususani katika vituo vya polisi, hivi karibuni kundi la Ansar Beit al-Maqdis lenye uhusiano na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaeda limejigamba kutekeleza mashambulizi hayo.
Wizara ya mambo ya ndani inasema waandamanji zaidi ya 1000 wanashikiliwa kwa tuhuma za kufanya vurugu.
Polisi ambao pia wanatuhumiwa kuwauawa mamia ya waandamanaji wa kiislamu toka kupinduliwa kwa Morsi wameapa kuendelea kuwadhibiti waandamanaji hao wanaotuhumiwa kukiuka sheria za nchi hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.