Skip to main content

Museveni akataa kuidhinisha muswada dhidi ya ushoga


Rais Yoweri Museveni wa Uganda amekataa kuidhinisha muswada wa kupiga marufuku ndoa za watu wenye jinsia moja katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
Kama ungeidhinishwa muswada huo ungetoa adhabu kali kwa watu wanaojihusisha na ngono za jinsia moja. Rais Museveni amemuandikia barua Spika wa Bunge, Rebecca Kadaga na kumkosoa kwa hatua ya kupitisha muswada huo Disemba mwaka jana bila ya kuwa na idadi ya kutosha ya Wabunge. 
Aidha Rais Museveni amedai kuwa, watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja wana akili timamu na wanaweza kuokolewa kutokana na tabia hiyo badala ya kuuawa au kufungwa jela.
Mswada huo unatoa adhabu kali kwa watu watakaopatikana na hatia ya kufanya liwati na usagaji ikiwemo ya kufungwa jela maisha. Muswada huo pia unaeleza kuwa, mtu yeyote aliyekuwa na taarifa za watu wanaoshiriki ngono za watu wa jinsia moja na kushindwa kutoa taarifa hizo kwenye vyombo husika atafungwa jela maisha.
Kwa mujibu wa gazeti la Monitor, Rais Museveni amesema kwamba, licha ya kuwashauri wabunge kusubiri hadi serikali itakapoutathmini lakini muswada huo ulishinikizwa zaidi na kupasishwa.
Wachambuzi wa mambo wanaamini kwamba, pingamizi hilo la Rais Museveni linachelea mashinikizo ya madola ya Magharibi ambayo baada tu ya kupasishwa muswada huo bungeni yamekuwa yakiiandama nchi hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...