Skip to main content

Kenya yasikiliza kesi ya watuhumiwa wa Westgate



Suspects in court in Nairobi, Kenya (4 Nov 2013)
Watuhumiwa wanne wa shambulio la Westgate, Nairobi nchini Kenya 
Mahakama ya Kenya leo imeanza kusikiliza kesi inayowakabili watuhumiwa wanne wanaohusishwa na kundi la kigaidi la al Shabab ambalo lilitekeleza shambulio dhidi ya jengo la maduka ya biashara la Westgate, Nairobi nchini Kenya mwaka uliopita.
Mahakama hiyo imeanza kwa kusikiliza maelezo ya mlinzi ambaye alikuwa nje ya jengo hilo wakati wa kutokea shambulio hilo tarehe 21 Septemba mwaka 2013. Shambulio hilo lilisababisha mauaji ya watu 67 na makuni ya wengine kujeruhiwa.
Taarifa kutoka Nairobi zinasema kuwa, Adan Mohamed Ibrahim, Muhammad Ahmed Abdi, Liban Abdullah Omar na Hussein Hassan Mustafa ambao wote ni raia wa Somalia, wanatuhumiwa kwa kushiriki kwenye shambulio hilo.
Watuhumiwa hao wamekanusha tuhuma za kushiriki kwao kwenye shambulio hilo. Kundi la kigaidi la al Shabab lilitangaza kuhusika na shambulio hilo lililochukua muda wa siku nne mtawalia.
Kundi hilo lilitangaza kuwa, shambulio hilo lilifanyika kwa ajili ya kulipiza kisasi uingiliaji wa kijeshi wa Kenya kwenye eneo la kusini mwa Somalia.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.