Skip to main content

Kwenye Nchi Ya Wasadikika Kuna Mafuriko Ya Habari...



Ndugu zangu,
Kwenye nchi ya Wasadikika kuna mambo mengi ya ajabu. Wasadikika kwa sasa wako kwenye 'hatari kubwa' ya kuzama kwenye mafuriko ya habari.
Haijapata kutokea kwenye Nchi ya Wasadikika kuuanza mwaka na mafuriko ya habari. Kwa sasa Nchi ya Kusadikika ina habari nyingi kiasi cha wahariri kwenye vyumba vya habari kufikiria kuongeza kurasa za magazeti. Na kwenye redio kuongeza dakika za matangazo.

Na kawaida ya mafuriko huja na mazagazaga. Ndio, kwenye mafuriko haya ya habari kuna ' mazagazaga' ya habari pia.

Na Wasadikika wanapenda sana ' mazagazaga'. Ni zile habari zenye kuzagaa mitaani na mara nyingi huwa hazina vichwa wala miguu. Na nyingine haziandikwi kabisa magazetini wala kutangazwa redioni- Ni mazagazaga tu yenye kuzaa habari pia.

Ndio, mazagazaga ni habari zisizoumiza sana vichwa, maana huna haja ya kifikiri sana na unaweza kuzianzia katikati na hata mwisho wa habari na ukawa na cha kuzungumza. Naam, Wasadikika wanapenda sana mambo ya kuambiwa na yanayotokana na walichosema akina Sadiki.

Hata hivyo, kwenye nchi ya Wasadikika, ukiachana na ' mazagazaga' yanayoelea na ukajitahidi kuzama sana kwenye mafuriko ya habari, basi, unaweza kukutana na habari nzito na za kichambuzi haswa. Habari zitakazokufanya uelewe yale ambayo hukuyaelewa kabla...

Yote hayo kwenye Nchi ya Wasadikika. Nchi yenye mambo ya ajabu.
Maggid Mjengwa,
Dar es Salaam- Jiji kwenye Nchi ya Wasadikika
0754 678 252.inatoka http:www.mjengwablog.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.