Skip to main content

"Marekani, mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu"


Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ni mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani. 
Akizungumza leo mbele ya hadhara kubwa ya wananchi wa matabaka mbalimbali kutoka mkoa wa Qum kwa mnasaba wa maadhimisho ya kutimia miaka 36 tokea ilipojiri harakati kubwa ya kihistoria ya wananchi wa Qum tarehe 9 Januari 1978, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei ameelezea matamshi ya chuki yanayotolewa na shakhsia, duru za kisiasa na vyombo vya habari vya Marekani yaliyo dhidi ya mfumo wa Kiislamu na wananchi wa Iran, yakiwemo madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini na kuongeza kuwa, kila mtu anazungumzia suala la haki za binadamu, lakini Wamarekani hawana haki hata kidogo ya kuzungumzia suala hilo, kwani serikali yao ni mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani. 
Akielezea uungaji mkono unaofanywa na Marekani kwa utawala ghasibu wa Israel katika jinai zinazotendwa na utawala huo dhidi ya wananchi wa Palestina wakiwemo wakaazi wa eneo la Ukanda wa Gaza na hata kuwazuia wananchi hao wasipate huduma za chakula na madawa, Ayatullah Khamenei ameongeza kuwa, vitendo vyote hivyo vinaonyesha wazi ukiukaji wa haki za binadamu unaofanywa na utawala huo ghasibu ukishirikiana na serikali ya Washington. 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...